SERIKALI HAITAMWONEA HURUMA MTU YEYOTE ATAKAYEKAMATWA AKIJIHUSISHA NA UVUVI HARAMU-NAIBU WAZIRI ULEGA

SERIKALI HAITAMWONEA HURUMA MTU YEYOTE ATAKAYEKAMATWA AKIJIHUSISHA NA UVUVI HARAMU-NAIBU WAZIRI ULEGA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa SERIKALI HAITAMWONEA HURUMA MTU YEYOTE ATAKAYEKAMATWA AKIJIHUSISHA NA UVUVI HARAMU-NAIBU WAZIRI ULEGA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : SERIKALI HAITAMWONEA HURUMA MTU YEYOTE ATAKAYEKAMATWA AKIJIHUSISHA NA UVUVI HARAMU-NAIBU WAZIRI ULEGA
kiungo : SERIKALI HAITAMWONEA HURUMA MTU YEYOTE ATAKAYEKAMATWA AKIJIHUSISHA NA UVUVI HARAMU-NAIBU WAZIRI ULEGA

soma pia


SERIKALI HAITAMWONEA HURUMA MTU YEYOTE ATAKAYEKAMATWA AKIJIHUSISHA NA UVUVI HARAMU-NAIBU WAZIRI ULEGA

 Serikali imepiga marufuku uvuvi haramu na kuteketeza  nyavu aina ya makokoro 35 , makila 6 na nyavu za zenia 25 zilizokuwa zikitumiwa na wavuvi haramu katika bwawa la Nyumba ya Mungu lililopo wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro

Akizungumza na wananchi wa kijiji cha Kagongo kata Lang’ata leo,Naibu Waziri wa mifugo na Uvuvi  Abdalah Ulega  amesema serikali haitamwonea huruma mtu yeyote atakayekamatwa akijihusisha na uvuvi haramu kwani serikali  imekua ikipoteza kiasi kikubwa cha mapato kutokana na uvuvi huo.

“Hatuna utani na mtu asiye na huruma na rasilimali za nchi hii, Tanzania ndio nchi yenye  sehemukubwa  yenye maji kuliko sehemu nyingine lakini bado tunaagiza samaki kutoka nchini china, tumeagiza sato., perege hadi kibua wa kichina, tusipotokomeza leo bwawa litakuwa historia kwa vizazi vijavyo” amesema Ulega

Kwa  upande wake mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira  alisema uwepo wa bwawa hilo umekuwa msaada mkubwa kwa wananchi katika eneo hilo na sasa ni wakati wa wananchi kuwa walinzi kwa kila mmoja ili kutokomeza uvuvi haramu.“Hebu leo amueni kabisa kwamba  biashara ya samaki ndio mfumo wa maisha yenu, Ninyi mkifanya hivyo sisi hatutahitaji kufunga hili bwawa , wakati wote tutahitaji kuongeza kizazi cha samaki na kuleta wataalamu kupima kiwango cha samaki tulichonacho” alisema Mghwira

 Kwa upande wake Dismas Gondwe mkazi wa kijiji cha kigongo kata ya Lang’ata amesema  uvuvi haramu katika bwawa hilo unatokana na kukosekana kwa utaratibu maalumu unaowaelekeza  wavuvi kuendesha  shughuli zao katika bwawa hilo.

Gondwe ameiomba serikali kuwawezesha  wavuvi wa bwawa la Nyumba ya Mungu zana  harali ambazo serikali inazitambua.

Naibi Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Abdallah Ulega akizungumza na wavuvi wa kijiji cha Kagongo kata ya Lang`ata mkoa wa Kilimanjaro kuhusu serikali kutokumuonea huruma mtu yoyote ambaye atajihusisha na shughuli za uvuvi  haramu.(Picha na Emmanuel Massaka wa MMG Kilimanjaro)
 Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega akiteta jambo na Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira.
 Naibi Waziri Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi,  Abdallah Ulega (wakwanza kulia) kwa kushirikiana na  Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Anna Mghwira na  Mkuu wa wilaya ya Mwanga Aarron Mbogho wakiteketeza zana haramu zilizokua zikitumika katika uvuvi haramu kwenye bwawa la Nyumba ya Mungu.(Picha na Emmanuel Massaka wa MMG Kilimanjaro)
 Sehemu ya wavuvi wa kijiji cha Kagongo kata ya Lang`ata mkoa wa Kilimanjaro wakimsikiliza Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Abdallah Ulega.
Zana haramu zilizokua zikitumika katika uvuvi haramu zikiteketezwa


Hivyo makala SERIKALI HAITAMWONEA HURUMA MTU YEYOTE ATAKAYEKAMATWA AKIJIHUSISHA NA UVUVI HARAMU-NAIBU WAZIRI ULEGA

yaani makala yote SERIKALI HAITAMWONEA HURUMA MTU YEYOTE ATAKAYEKAMATWA AKIJIHUSISHA NA UVUVI HARAMU-NAIBU WAZIRI ULEGA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala SERIKALI HAITAMWONEA HURUMA MTU YEYOTE ATAKAYEKAMATWA AKIJIHUSISHA NA UVUVI HARAMU-NAIBU WAZIRI ULEGA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/10/serikali-haitamwonea-huruma-mtu-yeyote.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "SERIKALI HAITAMWONEA HURUMA MTU YEYOTE ATAKAYEKAMATWA AKIJIHUSISHA NA UVUVI HARAMU-NAIBU WAZIRI ULEGA"

Post a Comment