MARUFUKU WAJAWAZITO KUFUNGA MDOA KANISA LA WASABATO.

MARUFUKU WAJAWAZITO KUFUNGA MDOA KANISA LA WASABATO. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MARUFUKU WAJAWAZITO KUFUNGA MDOA KANISA LA WASABATO., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MARUFUKU WAJAWAZITO KUFUNGA MDOA KANISA LA WASABATO.
kiungo : MARUFUKU WAJAWAZITO KUFUNGA MDOA KANISA LA WASABATO.

soma pia


MARUFUKU WAJAWAZITO KUFUNGA MDOA KANISA LA WASABATO.


Na. Mwambawahabari
Mchungaji wa kanisa la Waadiventista wa Sabato mtaa wa kurasini Harold Lisi, amewaeleza waumini wa kanisa hilo kuwa kwa mujibu wa utaratibu wa kanisa hilo hakuna muuminianaye ruhusiwa kufunga ndoa huku Bibi Harusi akiwa mjamzito.

Mchungaji Lisi amewaka wazi jambo hilo leo jioni wakati akizungumza na wa Shirika  wa kanisa hilo kabla ya kuanza kwa mkutano wa Halmashauri  ya kanisa, na kuongeza kuwa kumekuwa na baadhi ya watu ambao wamekuwa hawa fuati utaratibu huo jambo ambalo amesema ni kinyume na maelekezo ya kanisa hilo.

"Na taka niwaelekeze vijana utaratibu wa kufunga ndoa kanisani, unatakiwa kuleta barua kanisani hata kama atakayefungisha hiyondoa ni mimi Mchungaji wako, pia unatakiwa usiwe na haraka haraka eti unataka ndani ya muda mfupi ufungiwendoa, wengi wanafanya hivyo unakuja kafunga ndoa  baada ya miezi sita baada ya ndoa unakuta tayari wamepata watoto inamaanisha wakati wanafunga hiyo ndoa Bibi arusi alikuwa mjamzito haitakiwi "alisema.

Aidha amewataka waumini hao kuwa na na  umoja , upendo, na ushirikiano  hata katika nyakatingumu kwani Mungu hashindwi na jambo  lolote.

" unaoweza kuwa na matatizo mengi na ugumu wa hapa na pale ukienda kwenye kwaya mambo magumu ukirudi huku mabo magumu lakini nakusihi usichoke Mungu ni Mshindi" alisema.


Hivyo makala MARUFUKU WAJAWAZITO KUFUNGA MDOA KANISA LA WASABATO.

yaani makala yote MARUFUKU WAJAWAZITO KUFUNGA MDOA KANISA LA WASABATO. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MARUFUKU WAJAWAZITO KUFUNGA MDOA KANISA LA WASABATO. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/10/marufuku-wajawazito-kufunga-mdoa-kanisa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MARUFUKU WAJAWAZITO KUFUNGA MDOA KANISA LA WASABATO."

Post a Comment