PRINCE WILIAM ATEMBELEA BANDARI YA DAR ES SALAAM.

PRINCE WILIAM ATEMBELEA BANDARI YA DAR ES SALAAM. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa PRINCE WILIAM ATEMBELEA BANDARI YA DAR ES SALAAM., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : PRINCE WILIAM ATEMBELEA BANDARI YA DAR ES SALAAM.
kiungo : PRINCE WILIAM ATEMBELEA BANDARI YA DAR ES SALAAM.

soma pia


PRINCE WILIAM ATEMBELEA BANDARI YA DAR ES SALAAM.




 Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Deusdedit Kakoko, kushoto, akimkaribisha Mjukuu wa Malkia wa Uingereza, Prince William bandarini mara baada ya kufanya ziara ya kujionea utendaji wa Bandari ya Dar es Salaam jana. Price William yupo nchini kwa ziara maalumu ya siku tatu. Pembeni ya Mhandisi Kakoko ni Waziri wa katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi.
 Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Deusdedit Kakoko, katikati, akitazama sanamu ya Twiga aliyomzawadia Mjukuu wa Malkia wa Uingereza, Prince William, kushoto, mara baada ya kufanya ziara ya kujionea utendaji wa Bandari ya Dar es Salaam. Price William yupo nchini kwa ziara maalumu ya siku tatu.
 Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Deusdedit Kakoko, katikati, akimkabidhi zawadi ya sanamu ya Twiga Mjukuu wa Malkia wa Uingereza, Prince William, kulia, mara baada ya kufanya ziara ya kujionea utendaji wa Bandari ya Dar es Salaam. Price William yupo nchini kwa ziara maalumu ya siku tatu. Kushoto ni Waziri wa katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi.
Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Deusdedit Kakoko, katikati, akitambulisha watendaji wake kwa Mjukuu wa Malkia wa Uingereza, Prince William, kushoto, mara baada ya kufanya ziara ya kujionea utendaji wa Bandari ya Dar es Salaam. Price William yupo nchini kwa ziara maalumu ya siku tatu. Nyuma ya Mhandisi Kakoko ni Waziri wa katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi.

Hussein Ndubikile, 
Mwambawahabari

Mjukuu wa Malkia wa Uingereza, Prince William leo ametembelea Bandari ya Dar es Salaam kujionea shughuli za upakiaji na upakuaji wa mizigo katika bandari hiyo.


 Kwa mujibu wa taarifa ya Mkuu wa Mawasiliano wa TPA,Magomba L.D,  akiwa bandarini hapo sambamba na wenyeji wake, Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Deusdedit Kakoko pamoja na Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi. 

Amesema kuwa Prince William ametembelea gati Namba 7 pamoja na kushuhudia utendaji kazi wa mikadi (Scaner) zilizopo bandarini hapo.
Magomba amebainisha kuwa Prince William yupo nchini kwa ziara maalumu ya siku tatu ambayo ilianza jana tarehe 26/09/2018.


Hivyo makala PRINCE WILIAM ATEMBELEA BANDARI YA DAR ES SALAAM.

yaani makala yote PRINCE WILIAM ATEMBELEA BANDARI YA DAR ES SALAAM. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala PRINCE WILIAM ATEMBELEA BANDARI YA DAR ES SALAAM. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/09/prince-wiliam-atembelea-bandari-ya-dar.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "PRINCE WILIAM ATEMBELEA BANDARI YA DAR ES SALAAM."

Post a Comment