ALLY RICH NA NDOTO YAKE YA NIACHE NICHORE KUBADILISHA MAISHA YA VIJANA WA KITANZANIA

ALLY RICH NA NDOTO YAKE YA NIACHE NICHORE KUBADILISHA MAISHA YA VIJANA WA KITANZANIA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa ALLY RICH NA NDOTO YAKE YA NIACHE NICHORE KUBADILISHA MAISHA YA VIJANA WA KITANZANIA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : ALLY RICH NA NDOTO YAKE YA NIACHE NICHORE KUBADILISHA MAISHA YA VIJANA WA KITANZANIA
kiungo : ALLY RICH NA NDOTO YAKE YA NIACHE NICHORE KUBADILISHA MAISHA YA VIJANA WA KITANZANIA

soma pia


ALLY RICH NA NDOTO YAKE YA NIACHE NICHORE KUBADILISHA MAISHA YA VIJANA WA KITANZANIA

 Mkurugenzi Mtendaji wa AllyRich Sanaa Arts LTD Aliko Richard akizungumza na wageni mbalimbali na wakazi wa mkoa wa mbeya aliowalika kushuhudia wazo la Ndoto yake ya Niache Nichore katika Ukumbi wa Tughimbe Jijini Mbeya.
 Mkurugenzi wa Parick Mission Ndele Mwaselela akizungumza na wadau juu ya umuhimu wa kutumia maharifa tuliyopata kwa faida ya jamii kama alivyofanya Ally Rich.
 Mratibu wa Ndoto ya Ally RICH ya Niache Nichore, Mc Mwakyusa akizungumzia kwa upana juu ya umuhimu wa ndoto hiyo katika kizazi kijacho kwenye taaluma ya uchoraji na ubunifu.
 Mchoraji Mkongwe mkoani Mbeya , Furaha Mwaibandi akizungumzia uzoefu wake katika uchoraji na umuhimu wa jamii kuthamini Sanaa ya uchoraji.
 Mwakilishi wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya , ACP.Hamisi Sungu akizungumza na wadau umuhimu wa michoro katika usalama wa maisha yetu kuanzia Viwandani mpaka Barabarani hivyo aksema ni vyema kila mmoja akatahimini ndoto ya Ally Rich.
 Mzee Mwampashi akikabidhi zawadi ya moja ya bidha zitakazotolewa katika programu ya niache nichore kwa wachoraji wa mkoa wa Mbeya.
 Wageni Maalum wakionyesha Madaftari ya kuchorea ambayo yanatokana na ndoto ya Niache nichore ya Ally Rich
 Afisa Biashara Mkoa wa Mbeya , Stanley Kibakaya akizungumzia umuhimu wa uwekezaji katika Jiji la Mbeya kama alivyofanya Ally Rich.
Sehemu ya wadau walioshiriki katika Mkutano huo wakifatiliakwa makini yanayozungumzwa


Hivyo makala ALLY RICH NA NDOTO YAKE YA NIACHE NICHORE KUBADILISHA MAISHA YA VIJANA WA KITANZANIA

yaani makala yote ALLY RICH NA NDOTO YAKE YA NIACHE NICHORE KUBADILISHA MAISHA YA VIJANA WA KITANZANIA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala ALLY RICH NA NDOTO YAKE YA NIACHE NICHORE KUBADILISHA MAISHA YA VIJANA WA KITANZANIA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/09/ally-rich-na-ndoto-yake-ya-niache.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "ALLY RICH NA NDOTO YAKE YA NIACHE NICHORE KUBADILISHA MAISHA YA VIJANA WA KITANZANIA"

Post a Comment