ZIARA YA DC MJEMA YAENDELEA KUGUSA MAENEO YENYEKERO ZA WANANCHI ILALA

ZIARA YA DC MJEMA YAENDELEA KUGUSA MAENEO YENYEKERO ZA WANANCHI ILALA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa ZIARA YA DC MJEMA YAENDELEA KUGUSA MAENEO YENYEKERO ZA WANANCHI ILALA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : ZIARA YA DC MJEMA YAENDELEA KUGUSA MAENEO YENYEKERO ZA WANANCHI ILALA
kiungo : ZIARA YA DC MJEMA YAENDELEA KUGUSA MAENEO YENYEKERO ZA WANANCHI ILALA

soma pia


ZIARA YA DC MJEMA YAENDELEA KUGUSA MAENEO YENYEKERO ZA WANANCHI ILALA






Na John Luhende
Mwambawahabari
Mkuu wa wilya ya Ilala Sophia MJEMA,   akiwa katika ziara yake ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi ameahidi kutoa mifuko 15 ya Cement kwaajili ya kumalizia ujenzi wa Kituocha polisi cha Majohe ambapo ujenzi huo ulikwama kwa muda mrefu.

Aidha DC Mjema ame ameutaka uongozi wa  kata hiyo kuwasilisha mahitaji yote ya kituohicho ili ofisi yake iweze kufanyia kazi kwaajili ya kukamilisha ujenzi wa kituohicho. 

Kwa upande wake diwani  wa katakana ya Majohe Waziri Mwenevyale, ameahidi kujenga kench za jengohilo, na kumuomba DC Mjema kulitiliamkazo jambohilo ilikupunguza uhalifu katika eneo hilo. 

Katika hatua  nyingine DC Mjema ametembelea shule  ya msingi Majohe na kutatua mradibwamaji ambao wanafunzi wa shule hiyo wamepatanafasi ya kutoa kero zao wakiomba maji yaweyanapatikakanakilawakati ili yaweze kuwasaidia  kwa matumizi ya Choo, na ameahidi kujenga  vyoo Vinne kwaajili ya watoto wakike wasiache masomo wakiwa hedhi. 

"Nimesikia kero zenu wanafunzi ntawajengea vyoo Vinne  Tena mwalimu ujenzi mchukua na tiles  vyoo hiyo vijengwe vizuri na Vitae kwa taulo za kike na ni yake watoto wasikatishe masomo, nyie wasichana jifunzeni kusema no aside mtu akakurubuni ukaacha masomo, nanyie wavulana minute  bangi "amesema . 

DC Mjema yuko katika ziara kutembelea wilayahiyo kutatua kero Zinazo wakabiliwananchi, Leo anatembelea katata  za Majohe na buyuni. 




Hivyo makala ZIARA YA DC MJEMA YAENDELEA KUGUSA MAENEO YENYEKERO ZA WANANCHI ILALA

yaani makala yote ZIARA YA DC MJEMA YAENDELEA KUGUSA MAENEO YENYEKERO ZA WANANCHI ILALA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala ZIARA YA DC MJEMA YAENDELEA KUGUSA MAENEO YENYEKERO ZA WANANCHI ILALA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/08/ziara-ya-dc-mjema-yaendelea-kugusa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "ZIARA YA DC MJEMA YAENDELEA KUGUSA MAENEO YENYEKERO ZA WANANCHI ILALA"

Post a Comment