WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AFANYA ZIARA WILAYANI RORYA MKOANI MARA

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AFANYA ZIARA WILAYANI RORYA MKOANI MARA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AFANYA ZIARA WILAYANI RORYA MKOANI MARA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AFANYA ZIARA WILAYANI RORYA MKOANI MARA
kiungo : WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AFANYA ZIARA WILAYANI RORYA MKOANI MARA

soma pia


WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AFANYA ZIARA WILAYANI RORYA MKOANI MARA


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Nati Hassan mmoja wa wazazi waliojifungua wakati alipotembelea wodi ya wazazi ya Kituo cha Afya cha Kinesi wilayani Rorya Januari 16, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi baada ya kukagua Kituo cha Afya cha Kinesi wilayani Rorya Januari 16, 2018. Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Mara, Adam Malima.


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kizungumza na mwanafunzi wa Kidato cha Kwanza katika Shule ya Sekondari ya Nyamungo wilayani Rorya, Juma Wilfred baada ya kuzungumza na wananchi wakati alipokagua ujenzi wa Kituo cha Afya cha Kinesi Januari 16, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mkuu wa Kituo cha wilaya cha Kipolisi cha Kinesi wilayani Rorya, SSP Juma Wilfred Majula (wapili kushoto) wakati alipotembelea kituo hicho na kuvutiwa na juhudi ziizofanywa na Mkuu huyo wa Polisi za kujenga kituo hicho bila kusubiri fedha za serikali Januari 16, 201.. Waziri Mkuu aliendesha harambee ya papo kwa papo na kufanikiwa kupata shilingi milioni 20 za kumalizia jengo jipya la kituo hicho. Wapili kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Mara, Adam Malima na kushoto ni Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Kipolisi ya Tarime na Rorya, David Mwaibambe.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasalimia wananchi wa Utegi wilayani Rorya wakati alipolazimika kuasimama baada ya kuona umati mkubwa watu waliokuwa na shauku ya kumuona na kuksikiliza Januari 16, 2018.


Hivyo makala WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AFANYA ZIARA WILAYANI RORYA MKOANI MARA

yaani makala yote WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AFANYA ZIARA WILAYANI RORYA MKOANI MARA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AFANYA ZIARA WILAYANI RORYA MKOANI MARA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/01/waziri-mkuu-kassim-majaliwa-afanya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AFANYA ZIARA WILAYANI RORYA MKOANI MARA"

Post a Comment