UZINDUZI WA SHOWTIME ENTERTAINMENT KUFANYIKA NGOME KONGWE MJINI ZANZIBAR

UZINDUZI WA SHOWTIME ENTERTAINMENT KUFANYIKA NGOME KONGWE MJINI ZANZIBAR - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa UZINDUZI WA SHOWTIME ENTERTAINMENT KUFANYIKA NGOME KONGWE MJINI ZANZIBAR, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : UZINDUZI WA SHOWTIME ENTERTAINMENT KUFANYIKA NGOME KONGWE MJINI ZANZIBAR
kiungo : UZINDUZI WA SHOWTIME ENTERTAINMENT KUFANYIKA NGOME KONGWE MJINI ZANZIBAR

soma pia


UZINDUZI WA SHOWTIME ENTERTAINMENT KUFANYIKA NGOME KONGWE MJINI ZANZIBAR

MKURUGENZI wa Kampuni ya Showtime Intertiment Ibrahim Mitawi amesema kuwa wanatarajia kuzindua  Kampuni yao ifikapo tarehe 27 mwezi wa saba mwaka huu katika Ukumbi wa Ngome Kogwe Zanzibar.

Hayo aliyasema huko katika Ukumbi wa Sanaa Rahaleo Mjini Zanzibar wakati akizungumza na Waandishi wa habari juu ya uzinduzi wa Kampuni ya Showtime Intertiment inayotarajiwa kuanza saa moja Usiku.

Alisema kuwa lengo kuu la uzinduzi wa Kampuni hiyo ni kutaka kuijuilisha  Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar pamoja na Wananchi kwamba Vijana wa Kampuni ya showtime wanauwezo mkubwa wa kuitangza Zanzibar kiusanii .

Aidha alisema kuwa Zanzibar ni Kisiwa cha Utalii hivyo watahakikisha kupitia Kampuni yao kwa kutumia vipaji walivyonavyo kuhakikisha wanaitangaza Zanzibar kupitia Matamasha mbali mbali ili  kuimarisha Utalii utaoengeza uchumi wa Nchi.

Hata hivyo alisema kuwa hawatoweza kuacha Utamaduni wao hivyo katika ufunguzi wa Kampuni hiyo kutakuwepo burudani mbali mbali za Utamaduni wa asili. 

Hata hivyo Ibrahim Mitawi alisema ili Sanaa ifike mbali zaidi kuutangaza Utalii  ni muhimu kuwepo na  mashirikiano baina ya Makampuni mbali mbali pamoja na Serikali.
 Msemaji wa  Showtime Intertinment Musilim Nassor akizungumza na Waandishi wa Habari hawapo pichani juu ya Uzinduzi wa Showtime itakayozinduliwa tarehe 27/07 2018 katika Ukumbi wa Ngome Kongwe Mjini Zanzibar.
 Mkurugenzi wa Showtime Intertinment Ibrahim Mitawi akitoa ufafanizi  wa masuali aliyokua akiulizwa na Waandishi juu ya Uzinduzi wa Showtime  hiyo itakayozinduliwa tarehe 27/07 2018 katika Ukumbi wa Ngome Kongwe Mjini Zanzibar (kushoto) ni Saleh Nassor Abdallah ( Dj CARTEL) na Msaidizi Itifaki Issam Ramadhan Mussa.
  Mwandishi wa Habari wa Gaziti la Majira Mwajuma Juma akiuliza maswali katika mkutano kuhusiana na Show hiyo inayotarajiwa kuzinduliwa tarehe 27/07/2018  katika Ukumbi wa Ngome Kongwe Mjini Zanzibar.
Msaidizi Itifaki Issam Ramadhan Mussa akijibu baadhi ya maswali yaliokua yakiulizwa na Waandishi kuhusiana na Show hiyo (kulia) ni Dj CARTEL, Mkurugenzi wa Showtime Intertinment Ibrahim Mitawi na Msemaji wa Taasisi hiyo Musilim Nassor. Picha na Abdalla Omar  Maelezo – Zanzibar.

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA


Hivyo makala UZINDUZI WA SHOWTIME ENTERTAINMENT KUFANYIKA NGOME KONGWE MJINI ZANZIBAR

yaani makala yote UZINDUZI WA SHOWTIME ENTERTAINMENT KUFANYIKA NGOME KONGWE MJINI ZANZIBAR Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala UZINDUZI WA SHOWTIME ENTERTAINMENT KUFANYIKA NGOME KONGWE MJINI ZANZIBAR mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/07/uzinduzi-wa-showtime-entertainment.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "UZINDUZI WA SHOWTIME ENTERTAINMENT KUFANYIKA NGOME KONGWE MJINI ZANZIBAR"

Post a Comment