BREAKING NEWS: WATU WATANO WAFARIKI DUNIA KATIKA AJALI USIKU HUU JIJINI MBEYA

BREAKING NEWS: WATU WATANO WAFARIKI DUNIA KATIKA AJALI USIKU HUU JIJINI MBEYA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa BREAKING NEWS: WATU WATANO WAFARIKI DUNIA KATIKA AJALI USIKU HUU JIJINI MBEYA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : BREAKING NEWS: WATU WATANO WAFARIKI DUNIA KATIKA AJALI USIKU HUU JIJINI MBEYA
kiungo : BREAKING NEWS: WATU WATANO WAFARIKI DUNIA KATIKA AJALI USIKU HUU JIJINI MBEYA

soma pia


BREAKING NEWS: WATU WATANO WAFARIKI DUNIA KATIKA AJALI USIKU HUU JIJINI MBEYA

Na Emmanuel Madafa, 
Globu ya Jamii, Mbeya

Watu watano wanadaiwa kufariki dunia usiku katika ajali iliyohusisha lori pamoja na gari  dogo aina ya Noah eneo la mteremko wa mlima Igawilo nje kidogo ya jiji la Mbeya.
Mwandishi wa Globu ya Jamii ambaye yuko eneo la tukio hivi sasa ameambiwa na mashuhuda wa tukio hilo kwamba huenda chanzo cha ajali hiyo ni lori ambalo liliferi breki na kuzigonga gari nyingine tatu zikiwemo za TANESCO na kampuni ya CocaCola pamoja na hiyo Noah ambayo ilikuwa na abiria watatu ambao wawili inahofiwa wamefariki papo hapo na mmoja amekimbizwa hospitali rufaa ya Mbeya kupatiwa matibabu. 
Dereva wa lori  na msaidizi  wake wanahofiwa kwamba  wamefariki dunia papo hapo na juhudi za kuondoa maiti zao zinaendelea hivi sasa.
Ajali hii imekuja masaa machache tu baada ya waziri mpya wa Mambo ya Ndani Mhe. Kangi Lugola kumaliza ziara yake mkoani Mbeya ambapo pamoja na mambo mengine amevunja kamati na mabaraza ya  usalama barabarani nchi nzima kwa nia ya kujipanga upya katika kupambana na jang hilo sugu la Taifa.




Hivyo makala BREAKING NEWS: WATU WATANO WAFARIKI DUNIA KATIKA AJALI USIKU HUU JIJINI MBEYA

yaani makala yote BREAKING NEWS: WATU WATANO WAFARIKI DUNIA KATIKA AJALI USIKU HUU JIJINI MBEYA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala BREAKING NEWS: WATU WATANO WAFARIKI DUNIA KATIKA AJALI USIKU HUU JIJINI MBEYA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/07/breaking-news-watu-watano-wafariki.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "BREAKING NEWS: WATU WATANO WAFARIKI DUNIA KATIKA AJALI USIKU HUU JIJINI MBEYA"

Post a Comment