Washiriki Washinda Vikombe, Fedha Maonesho ya Utumishi wa Umma Muhimbili

Washiriki Washinda Vikombe, Fedha Maonesho ya Utumishi wa Umma Muhimbili - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Washiriki Washinda Vikombe, Fedha Maonesho ya Utumishi wa Umma Muhimbili, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Washiriki Washinda Vikombe, Fedha Maonesho ya Utumishi wa Umma Muhimbili
kiungo : Washiriki Washinda Vikombe, Fedha Maonesho ya Utumishi wa Umma Muhimbili

soma pia


Washiriki Washinda Vikombe, Fedha Maonesho ya Utumishi wa Umma Muhimbili

 Mwenyekiti wa Bodi ya Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Charles Majinge akikabidhi zawadi ya kikombe kwa Idara ya upasuaji ambayo imekuwa mshindi wa kwanza kwenye Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma ambayo yalianza tarehe 18 hadi 20 Juni, 2018 kwenye viwanja vya Muhimbili.  Idara hiyo imepatiwa zawadi ya kikombe, fedha na cheti cha ushiriki. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Muhimbili, Prof. Lawrence Museru akishuhudia shughuli ya kukabidhi zawadi kwa washiriki mbalimbali. Mwenyekiti huyo amefunga maonesho ya siku tatu yalioanza tarehe 18 hadi 20, Juni 2018 kwenye viwanja vya Muhimbili. Wengi walijitokeza kupima afya BURE, kupata elimu na ushauri kuhusu afya zao.
 Mkuu wa Idara ya Magonjwa ya Dharura na Ajali, Dkt. Juma Mfinanga akipokea zawadi ya kikombe kutoka kwa Prof. Majinge. Pia, Idara hiyo imepatiwa fedha na cheti cha ushiriki. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Muhimbili, Prof. Lawrence Museru.
 Wananchi wakitembelea banda la Magonjwa ya Damu na Saratani za Damu katika maonesho yaliofanyika Muhimbili.
 Mwenyekiti wa Bodi ya Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Charles Majinge akikabidhi zawadi ya fedha na kikombe kwa Idara meno.
 Idara ya macho nayo haikuwa nyuma katika kutoa huduma bora kwa wananchi waliofika kwenye banda lao kwani walishinda kikombe pamoja na feda taslimu.
 Wananchi wakisubiri kuhudumiwa katika banda la lishe kwenye maonesho hayo

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA


Hivyo makala Washiriki Washinda Vikombe, Fedha Maonesho ya Utumishi wa Umma Muhimbili

yaani makala yote Washiriki Washinda Vikombe, Fedha Maonesho ya Utumishi wa Umma Muhimbili Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Washiriki Washinda Vikombe, Fedha Maonesho ya Utumishi wa Umma Muhimbili mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/06/washiriki-washinda-vikombe-fedha.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Washiriki Washinda Vikombe, Fedha Maonesho ya Utumishi wa Umma Muhimbili"

Post a Comment