Matukio ya Picha Kisiwani Pemba leo.

Matukio ya Picha Kisiwani Pemba leo. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Matukio ya Picha Kisiwani Pemba leo., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Matukio ya Picha Kisiwani Pemba leo.
kiungo : Matukio ya Picha Kisiwani Pemba leo.

soma pia


Matukio ya Picha Kisiwani Pemba leo.

BANDARI ya Mkoani Kisiwani Pemba imekuwa ni moja ya bandari kubwa kwa sasa, kwa shuhuli mbali mbali za ushushaji mizigo kutoka Unguja na Mombasa, pichani Meli ya Mv  Hassanat ikiteremsha mizigo ya wafanya biashara mbali mbali wa Pemba
MCHUKUZI  katika bandari ya Wesha Kisiwani Pemba, akiwa amebeba gunia la mbatata katoka moja ya mashaua iliyofunga nanga katika bandari hiyo kutoka mkoani Tanga na kupakia katika gari, bandari ya Wesha imekua ni moja ya bandari muhimu kwa wafanya biashara wa mji wa chake chake kuteremsha bidhaa zao.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).


Hivyo makala Matukio ya Picha Kisiwani Pemba leo.

yaani makala yote Matukio ya Picha Kisiwani Pemba leo. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Matukio ya Picha Kisiwani Pemba leo. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/04/matukio-ya-picha-kisiwani-pemba-leo.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Matukio ya Picha Kisiwani Pemba leo."

Post a Comment