ESTER BULAYA NAYE AITWA POLISI DAR

ESTER BULAYA NAYE AITWA POLISI DAR - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa ESTER BULAYA NAYE AITWA POLISI DAR, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : ESTER BULAYA NAYE AITWA POLISI DAR
kiungo : ESTER BULAYA NAYE AITWA POLISI DAR

soma pia


ESTER BULAYA NAYE AITWA POLISI DAR

Mbunge wa Bunda Mjini kupitia CHADEMA Ester Amos Bulaya, ameitwa kituo cha polisi cha kati jijini Dar es salaam huku akiwa hana taarifa za sababu ya wito huo

Ester Bulaya amesema amepata taarifa za kuitwa kwake polisi kutoka kwa mwanasheria wake na hivi sasa yuko njiani kuelekea kituoni hapo, ingawa hajui kitakachomkuta huko.

“Ni kweli nimepata taarifa kutoka kwa mwanasheria wangu, naitwa kituo cha Polisi na sasa hivi ndio nalekea huko central, sababu za wito huo sijui lakini huenda ikawa kama ya wenzangu kina Mdee”, amesema Ester Bulaya

Hivi karibuni kumekuwa na matukio ya kuwakamata viongozi na wabunge wa CHADEMA na kuwafungulia mashtaka, ambayo baadhi yao wengine wameshapandishwa mahakamani, kwa mashtaka ya kufanya maandamano bila kibali na kusababisha vurugu


Hivyo makala ESTER BULAYA NAYE AITWA POLISI DAR

yaani makala yote ESTER BULAYA NAYE AITWA POLISI DAR Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala ESTER BULAYA NAYE AITWA POLISI DAR mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/04/ester-bulaya-naye-aitwa-polisi-dar.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "ESTER BULAYA NAYE AITWA POLISI DAR"

Post a Comment