WASICHANA WALIOTEKWA WAREJESHWA NYUMBANI

WASICHANA WALIOTEKWA WAREJESHWA NYUMBANI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WASICHANA WALIOTEKWA WAREJESHWA NYUMBANI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WASICHANA WALIOTEKWA WAREJESHWA NYUMBANI
kiungo : WASICHANA WALIOTEKWA WAREJESHWA NYUMBANI

soma pia


WASICHANA WALIOTEKWA WAREJESHWA NYUMBANI

Na Leandra Gabriel, Globu ya jamii

WANAFUNZI wa kike 110  waliotekwa February 19 katika shule ya bweni Dapchi nchini Nigeria  wamerejeshwa nyumbani kutoka kwenye mikono ya waasi.

Waziri wa habari nchini humo Alhaj Lai Mohammed ameeleza kuwa wanafunzi 101 kati ya 110 wamerejeshwa salama na hiyo ni baada ya jeshi kuweka juhudi ili kunusuru maisha ya watoto hao.

Licha ya Wizara kutothibitisha inasemekana wasichana watano wamefariki dunia na hiyo ni kutokana na maeleza ya Aisha Kachalla Bukar (14) mmoja wa manusura hao aliyoyatoa kwa baba yake.

 Pia inasadikika kuwa mmoja wa wanafunzi hao(mkristo) bado anaendelea kushikiliwa na waasi hao baada ya kukataa kuslimu.Rais wa nchi hiyo Muhammadu Buhari ameeleza kuwa janga la utekaji ni la kitaifa na ametoa pole kwa waathirika wote.

Ifahamike kuwa mwaka 2014 wanafunzi 300 walitekwa huko Chibok na hadi sasa wanafunzi 100 bado hawajapatikana.



Hivyo makala WASICHANA WALIOTEKWA WAREJESHWA NYUMBANI

yaani makala yote WASICHANA WALIOTEKWA WAREJESHWA NYUMBANI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WASICHANA WALIOTEKWA WAREJESHWA NYUMBANI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/03/wasichana-waliotekwa-warejeshwa-nyumbani.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WASICHANA WALIOTEKWA WAREJESHWA NYUMBANI"

Post a Comment