WANANCHI WA MKAMBA WAISHUKURU SERIKALI.

WANANCHI WA MKAMBA WAISHUKURU SERIKALI. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WANANCHI WA MKAMBA WAISHUKURU SERIKALI., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WANANCHI WA MKAMBA WAISHUKURU SERIKALI.
kiungo : WANANCHI WA MKAMBA WAISHUKURU SERIKALI.

soma pia


WANANCHI WA MKAMBA WAISHUKURU SERIKALI.

Mwambawahabari
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais TAMISEMI Selemani Jafo akizungumza  na wananchi wa kijiji cha Mkamba wilayani mkuranga
Wananchi wa kata ya Mkamba wilayani Mkuranga wameishukuru serikali kuwa kuwapatia fedha za kuboresha kituo chao cha afya. 
Shukrani hizo zimetolewa na wananchi hao wakati wa ziara ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Selemani Jafo alipotembelea kijijini hapo.
Akizungumza na wananchi wa kata ya Mkamba Waziri Jafo amewapongeza wananchi hao kwa kuanza maandalizi ya ujenzi wa miundombinu itakayojengwa na fedha hizo zilizo tolewa na serikali. 
Jafo amempongeza mbunge wa Jimbo hilo Mhe. Abdullahi Ulega kwa kupeleka kilio cha wananchi wa Mkamba hadi serikali kufanya maamuzi ya kupeleka milioni 400 za ujenzi wa miundombinu na milioni 300 zingine zimepelekwa MSD kwaajili ya ununuzi wa vifaa. 

Aidha, Jafo amewaagiza viongozi wa Mkuranga kwenda kujifunza katika kituo cha afya Maneromango kilichopo wilayani Kisarawe ili waone jinsi matumizi ya force account yalivyoleta manufaa katika ujenzi wa vituo vya afya hapa  nchini.

Baada ya kikao na wananchi wa Mkamba Waziri Jafo alifanya ukaguzi wa barabara inayounganisha wilaya ya Mkuranga na wilaya ya Kisarawe kupitia bonde la Mkuruili na amewaagiza mameneja wa TARURA wa wilaya ya  Mkuranga na wilaya ya Kisarawe kukaa pamoja kuiwekea mikakati barabara hiyo ili wananchi wa maeneo hayo waweze kuunganishwa vyema.

Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais TAMISEMI Selemani Jafo  akiwa na baadhi ya viongozi walio shiriki ukaguzi wa barabara ya mkamba kwenda Msanga ambayo inahitaji matengenezo makubwa


Hivyo makala WANANCHI WA MKAMBA WAISHUKURU SERIKALI.

yaani makala yote WANANCHI WA MKAMBA WAISHUKURU SERIKALI. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WANANCHI WA MKAMBA WAISHUKURU SERIKALI. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/02/wananchi-wa-mkamba-waishukuru-serikali.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WANANCHI WA MKAMBA WAISHUKURU SERIKALI."

Post a Comment