MAKONDA ATAKA WALIMU KUTHAMINIWA , MAKONTENA YA THAMANI ZA WALIMU YA ANZA KUWASILI.

MAKONDA ATAKA WALIMU KUTHAMINIWA , MAKONTENA YA THAMANI ZA WALIMU YA ANZA KUWASILI. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MAKONDA ATAKA WALIMU KUTHAMINIWA , MAKONTENA YA THAMANI ZA WALIMU YA ANZA KUWASILI., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MAKONDA ATAKA WALIMU KUTHAMINIWA , MAKONTENA YA THAMANI ZA WALIMU YA ANZA KUWASILI.
kiungo : MAKONDA ATAKA WALIMU KUTHAMINIWA , MAKONTENA YA THAMANI ZA WALIMU YA ANZA KUWASILI.

soma pia


MAKONDA ATAKA WALIMU KUTHAMINIWA , MAKONTENA YA THAMANI ZA WALIMU YA ANZA KUWASILI.


Mwambawahabari
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mhe Makonda leo amezindua rasmi zoezi la kupokea Samani za ndani za ofisi za walimu.



 Akizungumza katika uzinduzi huo ulifanyika kurasini Temeke jijini Dar es Salaam, amesema Serikali ilijisahau na kuwajengea walimu ofisi badala yake  walishughulika na ujenzi wa Madarasa na vyoo vya shule pekee na kuwa sahau walimu ambao ndiyo watu muhimu katika kuhamisha Maarifa na ujuzi kwenda kwa mwanafunzi.

"wakati mwingine matatizo ambayo yanatusumbua yame sababishwa na sisi wakuu wa idara tumezembea mahalani  mimi nashukuru Sana kutafuta kwa aliyekuwa Afisa Elimu Mkoa  wa Dar es Salaam Mhe kwa kuwa alikuwa hashughuliki na changamoto za walimu" Amesema.


Aidha ametaka walimu kuthaminiwa  kama ilivyokuwa zamani na amesema atatoa waraka ili walimu katika huduma za umma walimu wapewe kipaumbele katika kupewa huduma wasipange foleni,huku akiwa omba walimu kufundisha wanafunzi kwa moyo ili yaweze kupatikana matokeo bora.



Jumla ya Makontena 36 yanatarajiwa  kuwasili ambapo leo yamepokelewa 20 na makontena 16 yanatarajiwa kuwasili.

 Hata hivyo amewashukuru wote walio jitoabkufanikisha usafirishaji wa Makontena hayo wakiwemo Bank ya walimu (MCB) na Mfanyabiashara wa Makontena Emanuel Malya kwa kujitolea eneo lake na kulipia usafiri wa Makontena matatu.

 Ameendelea kuwashukuru wa Marekani wa walijitolea samani hizo na kuwa omba kwa mwenyezi Mungu awazidishie,pamoja na waandishi wa habari kwa kuandika habari zilizowafanya wa fadhili sehemu mbalimbali Ulimwenguni kufahamu mahitaji ya walimu wa Dar es Salaam.


Pamoja na hayo Makonda ameshiriki kuanzishwa kwa mashindano ya michezo mashuleni ili wanafunzi waweze kuwa na Afya bora.







Hivyo makala MAKONDA ATAKA WALIMU KUTHAMINIWA , MAKONTENA YA THAMANI ZA WALIMU YA ANZA KUWASILI.

yaani makala yote MAKONDA ATAKA WALIMU KUTHAMINIWA , MAKONTENA YA THAMANI ZA WALIMU YA ANZA KUWASILI. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MAKONDA ATAKA WALIMU KUTHAMINIWA , MAKONTENA YA THAMANI ZA WALIMU YA ANZA KUWASILI. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/02/makonda-ataka-walimu-kuthaminiwa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MAKONDA ATAKA WALIMU KUTHAMINIWA , MAKONTENA YA THAMANI ZA WALIMU YA ANZA KUWASILI."

Post a Comment