YANGA SC KUIVAA AZAM BILA WACHEZAJI WAKE SABA

YANGA SC KUIVAA AZAM BILA WACHEZAJI WAKE SABA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa YANGA SC KUIVAA AZAM BILA WACHEZAJI WAKE SABA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : YANGA SC KUIVAA AZAM BILA WACHEZAJI WAKE SABA
kiungo : YANGA SC KUIVAA AZAM BILA WACHEZAJI WAKE SABA

soma pia


YANGA SC KUIVAA AZAM BILA WACHEZAJI WAKE SABA

Na Agness Francis, Globu ya Jamii

MABINGWA Watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Yanga SC  kesho kukutanaa uso kwa uso na AzamFc  katika  kukamilisha mzunguko  wa kwanza,mchezo utakaochezwa Uwanja  wa Azam Complex Chamazi jijini Dar es Salaam. 

Akizungumza Msemaji Mkuu  wa Yanga SC  Dismas Ten leo Katika Makao makuu yao amesema wachezaji wapo fiti kuelekea mpambano huo unaosubiriwa kwa hamu na mashabiki  kuwa wamejipanga kuondoka na ushindi  dhidi ya Azam FC  kuachilia mbali kuwa watakuwa wageni wa mchezo huo mashambulizi yatakuwa ya kutosha katika kuonesha uwezo mkubwa walionao. 

Aidha amesema kikosi hicho kitawakosa wachezaji wake nyota  katika mtanange huo ambao ni Thabani Kamusoko, Amiss Tambwe, Yoana Mkomola, Pato Ngonyani, Donald Ngoma, Abdalah Shaib  ambao wako majeruhi pamoja na Pius  Biswita ambaye anatumukia adhabu ya kadi 3 za njano.  

Pia Msemaji Huyo amesema kuwa "katika mchezo wao wa kesho watamkosa Kocha Msaidizi  shedrack  Nsajigwa ambaye amepa msiba,"amesema Dismas. 

Pia Dismas amesema kwa siku ya kesho Kocha Mkuu George Lwandamina atarejea katika benchi la ufundi kuongoza kikosi chake kama ilivyokuwa hapo awali ikiwa kibali chake kipo hatua za mwisho kukamilika

Mzambia huyo alikuwa akikaa jukwaani wakati wa mechi za Mabingwa hao zikichezwa kwa sababu ya  kumalizika kwa  muda wa kibali chake cha kufanya kazi hapa nchini.


Hivyo makala YANGA SC KUIVAA AZAM BILA WACHEZAJI WAKE SABA

yaani makala yote YANGA SC KUIVAA AZAM BILA WACHEZAJI WAKE SABA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala YANGA SC KUIVAA AZAM BILA WACHEZAJI WAKE SABA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/01/yanga-sc-kuivaa-azam-bila-wachezaji.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "YANGA SC KUIVAA AZAM BILA WACHEZAJI WAKE SABA"

Post a Comment