Mwakyembe Atoa Maagizo Mazito TFF

Mwakyembe Atoa Maagizo Mazito TFF - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Mwakyembe Atoa Maagizo Mazito TFF, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Mwakyembe Atoa Maagizo Mazito TFF
kiungo : Mwakyembe Atoa Maagizo Mazito TFF

soma pia


Mwakyembe Atoa Maagizo Mazito TFF


Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe ameitaka TFF kuyafanyia kazi malalamiko yote yanayohusu michezo ya ligi daraja la kwanza, kati ya Dodoma FC vs Alliance na Pamba vs Biashara.

Sakata la maamuzi yasiyo ya haki katika michezo ya Dodoma FC dhidi Alliance ya Mwanza na Pamba ya Mwanza dhidi Biashara ya Musoma ndio limefanya Waziri mwenye dhamana ya michezo kutoa agizo hilo kwa shirikisho ili kuhakikisha utata huo unamalizika.

Katika taarifa yake  Waziri Mwakyembe ameeleza kusikitishwa na malalamiko ya vitendo vya uonevu na upendeleo katika maamuzi ya mechi hizo huku TFF ikiwa kimya bila kutoa ufafanuzi wa maamuzi hayo.

Mechi hizo zilipigwa Disemba 30 maamuzi yake kugubikwa na utata mkubwa hivyo Waziri amemtaka Rais wa TFF Wallace Karia na viongozi wengine wahusika kuchukua hatua za kuchunguza maamuzi hayo na kuchukua hatua
.


Hivyo makala Mwakyembe Atoa Maagizo Mazito TFF

yaani makala yote Mwakyembe Atoa Maagizo Mazito TFF Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Mwakyembe Atoa Maagizo Mazito TFF mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/01/mwakyembe-atoa-maagizo-mazito-tff.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Mwakyembe Atoa Maagizo Mazito TFF"

Post a Comment