Mnasema nina Ukimwi mmenipima? .......Walionitupia Uchawi Nawaomba Msamaa Ili Nipone- Steve Nyerere

Mnasema nina Ukimwi mmenipima? .......Walionitupia Uchawi Nawaomba Msamaa Ili Nipone- Steve Nyerere - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Mnasema nina Ukimwi mmenipima? .......Walionitupia Uchawi Nawaomba Msamaa Ili Nipone- Steve Nyerere, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Mnasema nina Ukimwi mmenipima? .......Walionitupia Uchawi Nawaomba Msamaa Ili Nipone- Steve Nyerere
kiungo : Mnasema nina Ukimwi mmenipima? .......Walionitupia Uchawi Nawaomba Msamaa Ili Nipone- Steve Nyerere

soma pia


Mnasema nina Ukimwi mmenipima? .......Walionitupia Uchawi Nawaomba Msamaa Ili Nipone- Steve Nyerere

http://ift.tt/2qWpt42Msanii wa filamu, Steve Nyerere amefunguka na kusema kuwa kutokana na matatizo ambayo anapitia ikiwa pamoja na maradhi yake kuna watu wengi wamekuwa wakisema kuwa ameathirika na virusi vya Ukimwi.


Muigizaji huyo amekiambia kipindi cha Enewz ya EATV kuwa anashangaa kwanini kila mtu anaongea lake kuhusu kuumwa kwake huku wengine wakifika mbali zaidi kwa kudai kwamba ameathirika.

“Watu wananifuatilia kutaka kujua hali yangu kwa sababu mimi ni mtu maarufu, ni jambo jema lakini kama kuna watu wamenitupia vitu vya ajabu naomba wanisamehe, mimi ni binadamu labda kuna namna watu nimewakosea,” alisema Steve. “Lakini nashangaa kuna watu wanadai imeathirika mmenipima, yaani kila mtu anaongea lake,”

Steve amedai kwa sasa anasumbuliwa na mbavu, miguu na tayari ameanza kupatiwa matibabu.


Hivyo makala Mnasema nina Ukimwi mmenipima? .......Walionitupia Uchawi Nawaomba Msamaa Ili Nipone- Steve Nyerere

yaani makala yote Mnasema nina Ukimwi mmenipima? .......Walionitupia Uchawi Nawaomba Msamaa Ili Nipone- Steve Nyerere Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Mnasema nina Ukimwi mmenipima? .......Walionitupia Uchawi Nawaomba Msamaa Ili Nipone- Steve Nyerere mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/01/mnasema-nina-ukimwi-mmenipima.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Mnasema nina Ukimwi mmenipima? .......Walionitupia Uchawi Nawaomba Msamaa Ili Nipone- Steve Nyerere"

Post a Comment