Matukio : TANESCO Yatahadharisha wananchi Kutosogelea Miundombinu ya Umeme kipindi hiki cha Mvua

Matukio : TANESCO Yatahadharisha wananchi Kutosogelea Miundombinu ya Umeme kipindi hiki cha Mvua - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Matukio : TANESCO Yatahadharisha wananchi Kutosogelea Miundombinu ya Umeme kipindi hiki cha Mvua, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Matukio : TANESCO Yatahadharisha wananchi Kutosogelea Miundombinu ya Umeme kipindi hiki cha Mvua
kiungo : Matukio : TANESCO Yatahadharisha wananchi Kutosogelea Miundombinu ya Umeme kipindi hiki cha Mvua

soma pia


Matukio : TANESCO Yatahadharisha wananchi Kutosogelea Miundombinu ya Umeme kipindi hiki cha Mvua







SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) linatoa tahadhari kwa Wateja wake na Wananchi kwa ujumla kuwa, kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha ni muhimu kuchukua tahadhari kwa.

Kutokufanya shughuli za Kibiashara karibu na miundombinu ya umeme.

Kutokaa karibu au katika Miundombinu ya umeme.

Kutokufanya shughuli za Kilimo katika miundombinu ya umeme.

Kutokugusa nyaya zilizoanguka.

Tafadhali usisogelee, usishike waya au nguzo zilizoanguka.

Tafadhali tusaidie kutupatia taarifa ya hitilafu au tatizo lolote la umeme kupitia mawasiliano yafuatayo,

Kituo cha miito ya simu Makao Makuu +255 222 194 400 na +255 768 985 100

Tovuti: www.tanesco.co.tz, mitandao ya kijamii:

Mitandao ya kijamii

Twitter, http://www.twitter.com/tanescoyetu,

Facebook http://ift.tt/2CNxNsB

IMETOLEWA NA: OFISI YA UHUSIANO

TANESCO MAKAO MAKUU

JANUARI 08, 2018


Hivyo makala Matukio : TANESCO Yatahadharisha wananchi Kutosogelea Miundombinu ya Umeme kipindi hiki cha Mvua

yaani makala yote Matukio : TANESCO Yatahadharisha wananchi Kutosogelea Miundombinu ya Umeme kipindi hiki cha Mvua Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Matukio : TANESCO Yatahadharisha wananchi Kutosogelea Miundombinu ya Umeme kipindi hiki cha Mvua mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/01/matukio-tanesco-yatahadharisha-wananchi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Matukio : TANESCO Yatahadharisha wananchi Kutosogelea Miundombinu ya Umeme kipindi hiki cha Mvua"

Post a Comment