MAKAMU WA RAIS MSTAAFU DKT. BILAL AFUNGUA BARABARA YA FUONI MELI TANO KWARARA ZANZIBAR WAFANYIKA

MAKAMU WA RAIS MSTAAFU DKT. BILAL AFUNGUA BARABARA YA FUONI MELI TANO KWARARA ZANZIBAR WAFANYIKA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MAKAMU WA RAIS MSTAAFU DKT. BILAL AFUNGUA BARABARA YA FUONI MELI TANO KWARARA ZANZIBAR WAFANYIKA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MAKAMU WA RAIS MSTAAFU DKT. BILAL AFUNGUA BARABARA YA FUONI MELI TANO KWARARA ZANZIBAR WAFANYIKA
kiungo : MAKAMU WA RAIS MSTAAFU DKT. BILAL AFUNGUA BARABARA YA FUONI MELI TANO KWARARA ZANZIBAR WAFANYIKA

soma pia


MAKAMU WA RAIS MSTAAFU DKT. BILAL AFUNGUA BARABARA YA FUONI MELI TANO KWARARA ZANZIBAR WAFANYIKA

Makamo wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt,Muhammed Gharib Bilal alipokata utepe kuashiria kufungua Barabara ya Kilomita Mbili ya Fuoni Meli Tano Kwarara.Ikiwa Shamra Shamra za Maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.kushoto yake ni Waziri wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Baloz Ali Abeid Karume.
Barabara ya Fuoni Meli Tano Kwarara yenye urefu wa kilomita mbili iliofunguliwa na Makamo wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt,Muhammed Gharib Bilal.Ikiwa Shamra Shamra za Maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Makamo wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt,Muhammed Gharib Bilal akikunjuwa kitambaa kuashiria kufungua Barabara ya Kilomita Mbili ya Fuoni Meli Tano Kwarara.Ikiwa Shamra Shamra za Maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Baadhi ya wageni waalikwa waliohudhuria katika Ufunguzi wa Barabara ya Kilomita Mbili ya Fuoni Meli Tano Kwarara.Ikiwa Shamra Shamra za Maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Waziri wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Baloz Ali Abeid Karume akitoa hotuba ya makaribisho kwa mgeni Rasmi katika Ufunguzi wa Barabara ya Kilomita Mbili ya Fuoni Meli Tano Kwarara.Ikiwa Shamra Shamra za Maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Makamo wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt,Muhammed Gharib Bilal akisisitiza jambo alipotoa hotuba ya ufunguzi wa Barabara ya Kilomita Mbili ya Fuoni Meli Tano Kwarara.Ikiwa Shamra Shamra za Maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.


Hivyo makala MAKAMU WA RAIS MSTAAFU DKT. BILAL AFUNGUA BARABARA YA FUONI MELI TANO KWARARA ZANZIBAR WAFANYIKA

yaani makala yote MAKAMU WA RAIS MSTAAFU DKT. BILAL AFUNGUA BARABARA YA FUONI MELI TANO KWARARA ZANZIBAR WAFANYIKA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MAKAMU WA RAIS MSTAAFU DKT. BILAL AFUNGUA BARABARA YA FUONI MELI TANO KWARARA ZANZIBAR WAFANYIKA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/01/makamu-wa-rais-mstaafu-dkt-bilal.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MAKAMU WA RAIS MSTAAFU DKT. BILAL AFUNGUA BARABARA YA FUONI MELI TANO KWARARA ZANZIBAR WAFANYIKA"

Post a Comment