Azam FC: Tumejipanga Kuchukua Pointi Tatu dhidi ya Yanga

Azam FC: Tumejipanga Kuchukua Pointi Tatu dhidi ya Yanga - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Azam FC: Tumejipanga Kuchukua Pointi Tatu dhidi ya Yanga, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Azam FC: Tumejipanga Kuchukua Pointi Tatu dhidi ya Yanga
kiungo : Azam FC: Tumejipanga Kuchukua Pointi Tatu dhidi ya Yanga

soma pia


Azam FC: Tumejipanga Kuchukua Pointi Tatu dhidi ya Yanga

Na Agness Francis,Blog ya Jamii. 
  MCHEZO kati ya Timu ya Azam FC dhidi ya Timu ya Yanga unaotarajiwa  kuchezwa Jumamosi saa 1 usiku kwenye Uwanja wa Azam Complex, Timu ya Azam imesema   kuwa Timu imeishaingia Kambini kwaajili ya maandalizi ya mchezo huo. 

Akizungumzia kuelekea kuhusu mchezo huo Afisa Habari wa Azam FC, Jaffary Iddy Maganga amesema kuwa  kikosi cha Azam FC iko imara katika kuweza kuwakabili Yanga na matokeo ya mchezo huo ni Dakika 90. 

Azam watashuka dimba ni siku hiyo dhidi ya YangAfricans mchezo utakaokuwa wa kukata na shoka ambapo timu zote mbili zitakuwa na hamu ya kupata Ushindi  wa pointi Tatu siku hiyo. 

"Baada ya Timu kurejea kutokea  Jijini Mbeya ambapo tulikokuwa na mchezo wetu na Tanzania Persons  jana imeingia kambini  na kuanza mazoezi kwa ajili ya maandalizi dhidi ya YangAfrica. Mchezo huo utakuwa ni mgumu ukizingatia Yanga nayo ni timu nzuri na Ina kikosi kipana lakini na sisi tumejipanga kunyakua pointi Tatu zenye ushindi wa mabao" Amesema Maganga

Mpaka sasa hivi Azam FC anashika nafasi ya pili kwa kwa pointi  30 kwenye misimamo Tanzania Bara akifatiwa na mabingwa watetezi  YangAfrica  mwenye pointi 25, huku wakiingozwa na pointi 33 za timu ya Simba.
Afisa Habari wa AzamFc,  Jafari Iddy Maganga akizungumza na waandishi wa habari mara  baada ya timu kuanza rasmi jana mazoezi kule Chamazi Complex, leo katika ofisi zao zilizopo Mzizima Jijini Dar es Salaam.


Hivyo makala Azam FC: Tumejipanga Kuchukua Pointi Tatu dhidi ya Yanga

yaani makala yote Azam FC: Tumejipanga Kuchukua Pointi Tatu dhidi ya Yanga Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Azam FC: Tumejipanga Kuchukua Pointi Tatu dhidi ya Yanga mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/01/azam-fc-tumejipanga-kuchukua-pointi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Azam FC: Tumejipanga Kuchukua Pointi Tatu dhidi ya Yanga"

Post a Comment