RAIS WA TFF WALAACE KARIA KUKUTANA NA WAHARIRI WA HABARI DEC 27 MWAKA HUU

RAIS WA TFF WALAACE KARIA KUKUTANA NA WAHARIRI WA HABARI DEC 27 MWAKA HUU - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa RAIS WA TFF WALAACE KARIA KUKUTANA NA WAHARIRI WA HABARI DEC 27 MWAKA HUU, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : RAIS WA TFF WALAACE KARIA KUKUTANA NA WAHARIRI WA HABARI DEC 27 MWAKA HUU
kiungo : RAIS WA TFF WALAACE KARIA KUKUTANA NA WAHARIRI WA HABARI DEC 27 MWAKA HUU

soma pia


RAIS WA TFF WALAACE KARIA KUKUTANA NA WAHARIRI WA HABARI DEC 27 MWAKA HUU

Rais wa Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) Wallace Karia atakutana na Wahariri wa Habari za Michezo Jumatano Desemba 27, 2017.

Pamoja na mambo mengine Rais Karia atazungumzia miezi minne tokea uongozi uliopo umeingia madarakani pamoja na vitu vilivyofanyika katika muda huo.

Aidha Rais Karia ataelezea changamoto mbalimbali zilizopo TFF pamoja na njia gani inatumika/Itatumika kuweza kupiga hatua kwa mpira wa Tanzania.

Taarifa zaidi za mkutano huo wa Rais Karia na Wahariri,mahali utakapofanyika pamoja na mualiko utatolewa kwa vyombo vya habari.

Huu ni mkutano wa kwanza wa Rais Karia na Wahariri wa habari za Michezo tokea ameingia madarakani.

Rais Karia aliingia madarakani August 12, 2017 kwenye uchaguzi uliofanyika mkoani Dodoma baada ya kushinda kwa kishindo kwenye uchaguzi ambao pia uliwaingiza madarakani Michael Wambura kwenye nafasi ya makamu wa Rais.

Wajumbe wa kamati ya utendaji waliongia madarakani kwenye uchaguzi huo ni pamoja na



Hivyo makala RAIS WA TFF WALAACE KARIA KUKUTANA NA WAHARIRI WA HABARI DEC 27 MWAKA HUU

yaani makala yote RAIS WA TFF WALAACE KARIA KUKUTANA NA WAHARIRI WA HABARI DEC 27 MWAKA HUU Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala RAIS WA TFF WALAACE KARIA KUKUTANA NA WAHARIRI WA HABARI DEC 27 MWAKA HUU mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/12/rais-wa-tff-walaace-karia-kukutana-na.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "RAIS WA TFF WALAACE KARIA KUKUTANA NA WAHARIRI WA HABARI DEC 27 MWAKA HUU"

Post a Comment