title : MWILI WA MAREHEMU MAYAGE WAAGWA LEO NYUMBANI KWAKE MBWENI
kiungo : MWILI WA MAREHEMU MAYAGE WAAGWA LEO NYUMBANI KWAKE MBWENI
MWILI WA MAREHEMU MAYAGE WAAGWA LEO NYUMBANI KWAKE MBWENI
Waandishi wa Habari, Wadau wa Habari, ndugu, jamaa na marafiki wamejitokeza kumuaga aliyewahi kuwa Mwandishi wa Habari, Mayage S. Mayage nyumbani kwake Mbweni jijini Dar es Salaam.
Marehemu Mayage alifariki Dunia Jumatatu katika Hospitali ya Misheni ya Mbweni alipokuwa amelazwa kwa ajili ya matibabu ya Marathi ya Kifua Kikuu (TB).
Mchungaji akiongoza misa ya kuombea mwili wa marehemu Mayage S. Mayage aliyewahi kuwa mwandishi wa habari leo nyumbani kwake Mbweni jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wanafamilia wa marehemu, ndugu na jamaa wakiwa fuatilia ibada ya kuagwa kwa aliyekuwa mwandishi mkongwe Mayage S. Mayage nyumbani kwake Mbweni Kijijini leo.
Neno la Mungu likisomwa
Hivyo makala MWILI WA MAREHEMU MAYAGE WAAGWA LEO NYUMBANI KWAKE MBWENI
yaani makala yote MWILI WA MAREHEMU MAYAGE WAAGWA LEO NYUMBANI KWAKE MBWENI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala MWILI WA MAREHEMU MAYAGE WAAGWA LEO NYUMBANI KWAKE MBWENI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/12/mwili-wa-marehemu-mayage-waagwa-leo.html
0 Response to "MWILI WA MAREHEMU MAYAGE WAAGWA LEO NYUMBANI KWAKE MBWENI"
Post a Comment