NEC yakiridhia kuhamishwa vituo 21 vya kupigia kura Mbweni

NEC yakiridhia kuhamishwa vituo 21 vya kupigia kura Mbweni - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa NEC yakiridhia kuhamishwa vituo 21 vya kupigia kura Mbweni, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : NEC yakiridhia kuhamishwa vituo 21 vya kupigia kura Mbweni
kiungo : NEC yakiridhia kuhamishwa vituo 21 vya kupigia kura Mbweni

soma pia


NEC yakiridhia kuhamishwa vituo 21 vya kupigia kura Mbweni

Mkurugenzi wa Uchaguzi Kailima Ramadhani akiwa na kitabu cha wageni kwenye Ofisi ya Serikali ya Mtaa wa Malindi Estate ambayo ipo kwenye nyumba ya mmoja wa wagombea wa Uchaguzi Mdogo wa Madiwani Kata ya Mbweni. Picha na NEC.

Hussein Makame-NEC

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imejiridhisha kuwa uamuzi wa kuvihamisha vituo 21 vya kupigia kura katika Kata ya Mbweni, jimbo la Kawe katika Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, umezingatia Sheria na Kanuni za Uchaguzi.

NEC imetoa msimamo huo, baada ya kupokea taarifa kutoka kwa baadhi ya wananchi na vyama vya siasa wakilalamika kuwa Tume ya uchaguzi imehamisha vituo vinane (8) vya kupigia kura na kuvipeleka kwenye Kituo cha Polisi, hatua waliyoeleza kuwa ni kuwanyima haki wapiga kura katika kutimiza haki ya msingi.

Malalamiko mengine yaliyoifikia NEC ni kwamba Tume ilivihamisha vituo vingine 15 kutoka maeneo ya awali na kuvipeleka maeneo mengine jambo ambalo baadhi ya vyama havikukubaliana na uamuzi huo.

Kutokana na malalamiko hayo, jana Jumanne Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Kailima Ramadhani akiambatana na watendaji wengine wa Tume, walitembelea maeneo hayo na kujiridhisha kuwa mabadiliiko ya vituo yaliyofanywa na msimamizi wa uchaguzi yamekidhi matakwa ya kisheria.

BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI


Hivyo makala NEC yakiridhia kuhamishwa vituo 21 vya kupigia kura Mbweni

yaani makala yote NEC yakiridhia kuhamishwa vituo 21 vya kupigia kura Mbweni Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala NEC yakiridhia kuhamishwa vituo 21 vya kupigia kura Mbweni mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/11/nec-yakiridhia-kuhamishwa-vituo-21-vya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "NEC yakiridhia kuhamishwa vituo 21 vya kupigia kura Mbweni"

Post a Comment