SIMBA NET WAMWAGA FURSA KWA VIJANA

SIMBA NET WAMWAGA FURSA KWA VIJANA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa SIMBA NET WAMWAGA FURSA KWA VIJANA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : SIMBA NET WAMWAGA FURSA KWA VIJANA
kiungo : SIMBA NET WAMWAGA FURSA KWA VIJANA

soma pia


SIMBA NET WAMWAGA FURSA KWA VIJANA





















Mwambahabari.
TANZANIA ikiwa  kwenye mapinduzi ya kiteknolojia ilhali  inadaiwa kuwepo kwa changamoto ya ajira ambapo mapunduzi hayo yanaweza kutoa fursa zaidi.

Fursa hizo zimeelezwa kuwa zipo kwenye teknoljia endapo vijana hao watajitambua kwa kufanya kazi vizuri katika kuitumia mitandao ya kijamii kwa ufanisi.

Akizungumza na waandishi wa habari Mkuu wa  Operesheni  kwenye mtandao wa Simba Net wa Tanzania Kenya na Uganda, Hussein Kitambi, amesema kuwa Simba Net itawakutanisha vijana  100 watakao funguliwa fikra ya jinsi Teknolojia inavyoweza kuwasaidia kujipatia ajira,
 
Amesema kuwa mkutano huo utakaofanyika kesho jijini Dar es Salaam katika  Ofisi za  Umoja wa Mataifa ambapo Simba Net ikishirikiana na wadau mbalimbali wa Teknolojia.


Hivyo makala SIMBA NET WAMWAGA FURSA KWA VIJANA

yaani makala yote SIMBA NET WAMWAGA FURSA KWA VIJANA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala SIMBA NET WAMWAGA FURSA KWA VIJANA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/10/simba-net-wamwaga-fursa-kwa-vijana.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "SIMBA NET WAMWAGA FURSA KWA VIJANA"

Post a Comment