SERIKALI YAWATAKA WADAU WA SEKTA YA AFYA YA BINADAMU, MIFUGO, WANYAMA PORI NA MAZINGIRA KUONGEZA KASI YA USHIRIKIANO NA MASHAURIANO

SERIKALI YAWATAKA WADAU WA SEKTA YA AFYA YA BINADAMU, MIFUGO, WANYAMA PORI NA MAZINGIRA KUONGEZA KASI YA USHIRIKIANO NA MASHAURIANO - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa SERIKALI YAWATAKA WADAU WA SEKTA YA AFYA YA BINADAMU, MIFUGO, WANYAMA PORI NA MAZINGIRA KUONGEZA KASI YA USHIRIKIANO NA MASHAURIANO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : SERIKALI YAWATAKA WADAU WA SEKTA YA AFYA YA BINADAMU, MIFUGO, WANYAMA PORI NA MAZINGIRA KUONGEZA KASI YA USHIRIKIANO NA MASHAURIANO
kiungo : SERIKALI YAWATAKA WADAU WA SEKTA YA AFYA YA BINADAMU, MIFUGO, WANYAMA PORI NA MAZINGIRA KUONGEZA KASI YA USHIRIKIANO NA MASHAURIANO

soma pia


SERIKALI YAWATAKA WADAU WA SEKTA YA AFYA YA BINADAMU, MIFUGO, WANYAMA PORI NA MAZINGIRA KUONGEZA KASI YA USHIRIKIANO NA MASHAURIANO

Mmoja wa washiriki wa warsha ya wadau wa sekta ya afya, mifugo, mazingira na wanyama pori kutoka Serikali ya Mapinduzi Zanzibar akichangia mada wakati wa warsha ya kujadili Mpango Mkakati wa Usalama wa Afya katika kukabiliana na magonjwa ya milipuko itokayo kwa wanyama kwenda kwa binadamu iliyofanyika Jumatatu Oktoba 16, 2017.
Mwakilishi wa Shirika la DTRA kutoka nchini Marekani Bi. Jean Richard akizungumza na wadau wa sekta ya afya, mifugo, mazingira na wanyama pori wakati wa warsha ya kujadili Mpango Mkakati wa Usalama wa Afya (2017-21) katika kukabiliana na magonjwa ya milipuko itokayo kwa wanyama kwenda kwa binadamu iliyofanyika Jumatatu Oktoba 16, 2017.
Mkurugenzi wa Idara ya Uratibu wa Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Mbazi Msuya (wa pili kushoto)akifuatilia hotuba zilizokuwa zikitolewa na wadau mbalimbali wa warsha wadau wa sekta ya afya, mifugo, mazingira na wanyama pori iliyokuwa ikijadili Mpango Mkakati wa Usalama wa Afya (2017-21) katika kukabiliana na magonjwa ya milipuko itokayo kwa wanyama kwenda kwa binadamu iliyofanyika Jumatatu Oktoba 16, 2017. Wa pili kulia ni Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Dkt. Ritha Njau.
Mwakilishi wa Shirika la OIE katika nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), Bw. Moetapele Letshwenyo akizungumza na wadau wa sekta ya afya, mifugo, mazingira na wanyama pori wakati wa warsha ya kujadili Mpango Mkakati wa Usalama wa Afya (2017-21) katika kukabiliana na magonjwa ya milipuko itokayo kwa wanyama kwenda kwa binadamu iliyofanyika Jumatatu Oktoba 16, 2017.

BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI


Hivyo makala SERIKALI YAWATAKA WADAU WA SEKTA YA AFYA YA BINADAMU, MIFUGO, WANYAMA PORI NA MAZINGIRA KUONGEZA KASI YA USHIRIKIANO NA MASHAURIANO

yaani makala yote SERIKALI YAWATAKA WADAU WA SEKTA YA AFYA YA BINADAMU, MIFUGO, WANYAMA PORI NA MAZINGIRA KUONGEZA KASI YA USHIRIKIANO NA MASHAURIANO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala SERIKALI YAWATAKA WADAU WA SEKTA YA AFYA YA BINADAMU, MIFUGO, WANYAMA PORI NA MAZINGIRA KUONGEZA KASI YA USHIRIKIANO NA MASHAURIANO mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/10/serikali-yawataka-wadau-wa-sekta-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "SERIKALI YAWATAKA WADAU WA SEKTA YA AFYA YA BINADAMU, MIFUGO, WANYAMA PORI NA MAZINGIRA KUONGEZA KASI YA USHIRIKIANO NA MASHAURIANO"

Post a Comment