Rejesheni Uadilifu, Uzalendo Nchini- Ole Nasha

Rejesheni Uadilifu, Uzalendo Nchini- Ole Nasha - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Rejesheni Uadilifu, Uzalendo Nchini- Ole Nasha, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Rejesheni Uadilifu, Uzalendo Nchini- Ole Nasha
kiungo : Rejesheni Uadilifu, Uzalendo Nchini- Ole Nasha

soma pia


Rejesheni Uadilifu, Uzalendo Nchini- Ole Nasha


Jonas Kamaleki- MAELEZO

Serikali yawataka watanzania kurejesha nchi katika misingi iliyoachwa na Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ya kuwa na viongozi waadilifu,wazalendo na wenye uchungu na nchi yao.

Wito huo umetolewa jana jijini Dar es Salaam na Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. William Ole Nasha wakati akifungua Kongamano la Kumbukizi ya Miaka 18 ya Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Ole Nasha amesema kuwa kumekuwa na ombwe kubwa la kuporomoka kwa maadili, kushamiri kwa rushwa, ufisadi, kukosekana kwa uzalendo na uwajibikaji, kuwepo kwa wafanyakazi hewa na biashara ya madawa ya kulevya.

Ameongeza kuwa wengi waliokuwa wakiharibu nchi hii ni watanzania wenyewe kwa ajili ya tamaa na ubinafsi wao. Nimefarijika sana kusikia kuwa Chuo kimeanza kurejesha hadhi yake iliyokuwepo hapo awali kilipoasisiwa kwa kuanzisha program maalum ya Uongozi, Maadili na Utawala Bora,”alisema Ole Nasha.

Akizungumzia Mada Kuu ya Kongamano ambayo ni Mtazamo wa Mwalimu Nyerere katika Uchumi wa Viwanda na Maendeleo ya Jamii, Naibu Waziri amesema kuwa ni ukweli usiopingika katika uchumi wa maendeleo ya viwanda, Uzalendo, Utaifa, Uadilifu na Uongozi Bora vinapaswa kuzingatiwa. Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku amesema kuwa viwanda si maendeleo bali ni matokeo ya maendeleo.

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA


Hivyo makala Rejesheni Uadilifu, Uzalendo Nchini- Ole Nasha

yaani makala yote Rejesheni Uadilifu, Uzalendo Nchini- Ole Nasha Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Rejesheni Uadilifu, Uzalendo Nchini- Ole Nasha mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/10/rejesheni-uadilifu-uzalendo-nchini-ole.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Rejesheni Uadilifu, Uzalendo Nchini- Ole Nasha"

Post a Comment