Jalada kesi ya mke wa marehemu bilionea msuya liko kwa DCI

Jalada kesi ya mke wa marehemu bilionea msuya liko kwa DCI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Jalada kesi ya mke wa marehemu bilionea msuya liko kwa DCI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Jalada kesi ya mke wa marehemu bilionea msuya liko kwa DCI
kiungo : Jalada kesi ya mke wa marehemu bilionea msuya liko kwa DCI

soma pia


Jalada kesi ya mke wa marehemu bilionea msuya liko kwa DCI

Na Karama Kenyunko, Globu ya jamii.

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeelezwa kuwa, jalada la kesi ya mauaji inayomkabili mke wa marehemu bilionea Erasto Msuya, Miriam Mrita na mfanyabiashara Revocatus Muyella lipo kwa Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai nchini (DCI).

Hayo yameelezwa leo Octoba 30 na wakili wa Serikali, Patrick Mwita mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba baada ya kesi hiyo kuja kwa ajili ya kutajwa,  

"Mheshimiwa,  jalada  halisi la kesi hii limetoka ofisi ya upelelezi mkoa wa Temeke (RCO) na sasa lipo kwa DCI." Amesema Mwita.

Kufuatia Maelezo hayo,, Hakimu Simba ameahirisha kesi hiyo hadi Novemba 13, mwaka  huu pia ameusisitiza upande wa Mashtaka wakamilishe mapema upelelezi.

Katika kesi hiyo namba 5 ya mwaka huu, washtakiwa hao  wanadaiwa kumuua kwa makusudi Dada  wa marehemu bilionea, Erasto Msuya, Aneth Msuya.

Tukio hilo, linalodaiwa kufanyika Mei 25, mwaka jana maeneo ya Kibada Kigamboni Jijini Dar es Salaam.

Washtakiwa hao, awali  Februari 23, 2016, waliachiwa huru katika kesi ya mauaji namba 32 ya mwaka 2016 na Hakimu Mkazi Mwandamizi Godfrey Mwambapa.

Baada ya kufutwa kwa kesi hiyo iliyokuwa ikifanana na hii walikamatwa  na baadaye kusomewa mashtaka hayo ya mauaji upya.


Hivyo makala Jalada kesi ya mke wa marehemu bilionea msuya liko kwa DCI

yaani makala yote Jalada kesi ya mke wa marehemu bilionea msuya liko kwa DCI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Jalada kesi ya mke wa marehemu bilionea msuya liko kwa DCI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/10/jalada-kesi-ya-mke-wa-marehemu-bilionea.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Jalada kesi ya mke wa marehemu bilionea msuya liko kwa DCI"

Post a Comment