Bashe akagua Ujenzi wa Shule ya Kwanza ya Sekondari ya Wasichana jimboni kwake Nzega

Bashe akagua Ujenzi wa Shule ya Kwanza ya Sekondari ya Wasichana jimboni kwake Nzega - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Bashe akagua Ujenzi wa Shule ya Kwanza ya Sekondari ya Wasichana jimboni kwake Nzega, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Bashe akagua Ujenzi wa Shule ya Kwanza ya Sekondari ya Wasichana jimboni kwake Nzega
kiungo : Bashe akagua Ujenzi wa Shule ya Kwanza ya Sekondari ya Wasichana jimboni kwake Nzega

soma pia


Bashe akagua Ujenzi wa Shule ya Kwanza ya Sekondari ya Wasichana jimboni kwake Nzega

Mbunge wa Jimbo la Nzega Mjini Mhe. Hussein Bashe amekagua Ujenzi wa Shule ya Kwanza ya Sekondari ya Wasichana katika Jimbo la Nzega Mjini na wilaya ya Nzega kwa ujumla. 
 Mafanikio ya ujenzi wa shule hii ni maono ya Mheshimiwa Bashe katika kuhakikisha watoto wa masikini wanapata elimu ili kuweza kujikwamua na umasikini. 
 Mhe. Bashe amesema kuwa  anaamini ya kuwa ..."Elimu ndio njia pekee ya kumkomboa mtoto wa masikini" 
 Aidha Shule hii itakua na uwezo wa kupokea wanafunzi kuanzia Kidato cha Kwanza hadi cha Sita huku msisitizo ukiwa ni masomo ya Sayansi. Ujenzi wa shule hii unaendana na ujenzi wa kituo cha Afya ambacho kitahudumia wananchi pamoja na wanafunzi ambao watakua wanasoma katika shule hiyo. 
 Bashe anasema "Tuna vipaumbele vingi lakini kile cha kwanza na msingi kwetu ni Elimu ya watoto wetu" "Hivyo nitahakikisha ninaboresha miundombinu ya Elimu ndani ya Jimbo la Nzega Mjini na kama sehemu ya urithi kwa watoto wa masikini".
 Ujenzi wa Shule ya Kwanza ya Sekondari ya Wasichana katika Jimbo la Nzega Mjini na wilaya ya Nzega ukiendelea
 Ujenzi wa Shule ya Kwanza ya sekondari ya Wasichana katika Jimbo la Nzega Mjini na wilaya ya Nzega kwa ujumla.
 Mbunge wa Jimbo la Nzega Mjini Mhe. Hussein Bashe akikagua Ujenzi wa Shule ya Kwanza ya sekondari ya Wasichana katika Jimbo la Nzega Mjini na wilaya ya Nzega kwa ujumla.
  Mbunge wa Jimbo la Nzega Mjini Mhe. Hussein Bashe akiongea baada ya kukagua Ujenzi wa Shule ya Kwanza ya Wasichana katika Jimbo la Nzega Mjini na wilaya ya Nzega kwa ujumla.
 Mbunge wa Jimbo la Nzega Mjini Mhe. Hussein Bashe akiongea baada ya kukagua Ujenzi wa Shule ya Kwanza ya Wasichana katika Jimbo la Nzega Mjini na wilaya ya Nzega kwa ujumla.


Hivyo makala Bashe akagua Ujenzi wa Shule ya Kwanza ya Sekondari ya Wasichana jimboni kwake Nzega

yaani makala yote Bashe akagua Ujenzi wa Shule ya Kwanza ya Sekondari ya Wasichana jimboni kwake Nzega Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Bashe akagua Ujenzi wa Shule ya Kwanza ya Sekondari ya Wasichana jimboni kwake Nzega mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/10/bashe-akagua-ujenzi-wa-shule-ya-kwanza.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Bashe akagua Ujenzi wa Shule ya Kwanza ya Sekondari ya Wasichana jimboni kwake Nzega"

Post a Comment