WANANCHI WA DAR ES SALAAM WAJITOKEZA KWA WINGI KUPIMA AFYA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA

WANANCHI WA DAR ES SALAAM WAJITOKEZA KWA WINGI KUPIMA AFYA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WANANCHI WA DAR ES SALAAM WAJITOKEZA KWA WINGI KUPIMA AFYA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WANANCHI WA DAR ES SALAAM WAJITOKEZA KWA WINGI KUPIMA AFYA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA
kiungo : WANANCHI WA DAR ES SALAAM WAJITOKEZA KWA WINGI KUPIMA AFYA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA

soma pia


WANANCHI WA DAR ES SALAAM WAJITOKEZA KWA WINGI KUPIMA AFYA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA



Zoezi la Upimaji wa Afya Bure limeanza leo kwenye Viwanja vya  Mnazi Mmoja  huku baadhi ya Wananchi wakitoka Mikoani kuja Dar es Salaam kufuata huduma na wengine wakiwahi kwenye Viwanja hivyo tokea  saa 10 Alfajiri.
RC Makonda  amesema kampeni hiyo ina malengo matatu ambayo ni 

Kujengea Wananchi utaratibu wa kupima Afya zao Mara kwa mara hata kama hawaumwi.

Kusaidia Wananchi Wanyonge
 wanaotamani kupima Afya lakini hawana Uwezo wa Fedha kupata fursa ya kupima Afya.

Kupunguza vifo   vitokanavyo na watu kutokujua historia ya Magonjwa yao hadi pale wanapougua.

Aidha  Makonda  amesema kila Mwananchi atakaefika kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja atapimwa na kupatiwa Matibabu Bure.

Amesema  Wananchi wengi wamekuwa wakipoteza maisha kutokana na kukosa utaratibu wa kupima Afya Mara kwa Mara na pindi wanapozidiwa na kufikishwa Hospital Ugonjwa unakuwa tayari umekuwa sugu hivyo kupoteza maisha.

Amewapongeza  Madaktari na Wauguzi kutoka  Hospital za Umma, Jeshi na zile za Binafsi kwa kujitolea kumuunga mkono katika Kampeni hiyo.

Zoezi la upimaji Afya Bure litaendelea Kwenye Viwanja vya Mnazu Mmoja kwa muda wa siku tano kuanzia Asubuhi hadi Jioni.


Hivyo makala WANANCHI WA DAR ES SALAAM WAJITOKEZA KWA WINGI KUPIMA AFYA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA

yaani makala yote WANANCHI WA DAR ES SALAAM WAJITOKEZA KWA WINGI KUPIMA AFYA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WANANCHI WA DAR ES SALAAM WAJITOKEZA KWA WINGI KUPIMA AFYA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/09/wananchi-wa-dar-es-salaam-wajitokeza.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WANANCHI WA DAR ES SALAAM WAJITOKEZA KWA WINGI KUPIMA AFYA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA"

Post a Comment