WADAU WA NGUVU WATUNUKIWA SHAHADA YA UZAMILI KATIKA UONGOZI WA BIASHARA CHUO KIKUU CHA ESAMI ARUSHA

WADAU WA NGUVU WATUNUKIWA SHAHADA YA UZAMILI KATIKA UONGOZI WA BIASHARA CHUO KIKUU CHA ESAMI ARUSHA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WADAU WA NGUVU WATUNUKIWA SHAHADA YA UZAMILI KATIKA UONGOZI WA BIASHARA CHUO KIKUU CHA ESAMI ARUSHA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WADAU WA NGUVU WATUNUKIWA SHAHADA YA UZAMILI KATIKA UONGOZI WA BIASHARA CHUO KIKUU CHA ESAMI ARUSHA
kiungo : WADAU WA NGUVU WATUNUKIWA SHAHADA YA UZAMILI KATIKA UONGOZI WA BIASHARA CHUO KIKUU CHA ESAMI ARUSHA

soma pia


WADAU WA NGUVU WATUNUKIWA SHAHADA YA UZAMILI KATIKA UONGOZI WA BIASHARA CHUO KIKUU CHA ESAMI ARUSHA

Afisa Habari katika Sekretariati ya Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC) ,Florian Mutabazi akipokea Cheti chake kutoka kwa Waziri wa Elimu wa Malawi,Bright Msaka baada ya kuhitimu Shahada ya Uzamili katika Uongozi wa Biashara(MBA) Chuo Kikuu cha Eastern and Southern African Management Institute(ESAMI) kilichopo jijini Arusha katika mahafali yaliyofanyika chuoni hapo,wahitimu wametoka nchi 32 barani Afrika.Picha na Filbert Rweyemamu 
Afisa Habari katika Sekretariati ya Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC),Florian Mutabazi akiwa mwenye furaha baada ya baada ya kuhitimu Shahada ya Uzamili katika Uongozi wa Biashara(MBA) 
Mdau wa blog za kijamii ,Yotham Ndembeka ambaye ni mtumishi katika Ofisi ya Katibu Tawala mkoa wa Arusha akipongezwa na Mkurugenzi wa Chuo Kikuu cha Eastern and Southern African Management Institute(ESAMI)kilichopo jijini Arusha,Profesa Bonard Mwape baada ya kutunukiwa Shahada ya Uzamili katika Uongozi wa Biashara(MBA). 
Afisa Habari katika Sekretariati ya Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC),Florian Mutabazi(kushoto) akifurahia pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa EAC anayeshughulikia Utawala na Fedha,Jesca Eriyo. 
Picha ya pamoja ya uongozi wa taasisi ya ESAMI. 
Mtumishi Mwandamizi katika Ofisi ya Katibu Tawala mkoa wa Arusha,Grace Mbaruku(kulia) akifurahia baada ya kutunukiwa Shahada ya Uzamili katika Uongozi wa Biashara(MBA). 


Hivyo makala WADAU WA NGUVU WATUNUKIWA SHAHADA YA UZAMILI KATIKA UONGOZI WA BIASHARA CHUO KIKUU CHA ESAMI ARUSHA

yaani makala yote WADAU WA NGUVU WATUNUKIWA SHAHADA YA UZAMILI KATIKA UONGOZI WA BIASHARA CHUO KIKUU CHA ESAMI ARUSHA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WADAU WA NGUVU WATUNUKIWA SHAHADA YA UZAMILI KATIKA UONGOZI WA BIASHARA CHUO KIKUU CHA ESAMI ARUSHA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/11/wadau-wa-nguvu-watunukiwa-shahada-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WADAU WA NGUVU WATUNUKIWA SHAHADA YA UZAMILI KATIKA UONGOZI WA BIASHARA CHUO KIKUU CHA ESAMI ARUSHA"

Post a Comment