UTAFITI: KIWANGO CHA NIKOTINI KINACHOPATIKANA KWENYE ASALI HAKINA UWEZO WA KUDHURU MWILI WA BINADAMU

UTAFITI: KIWANGO CHA NIKOTINI KINACHOPATIKANA KWENYE ASALI HAKINA UWEZO WA KUDHURU MWILI WA BINADAMU - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa UTAFITI: KIWANGO CHA NIKOTINI KINACHOPATIKANA KWENYE ASALI HAKINA UWEZO WA KUDHURU MWILI WA BINADAMU, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : UTAFITI: KIWANGO CHA NIKOTINI KINACHOPATIKANA KWENYE ASALI HAKINA UWEZO WA KUDHURU MWILI WA BINADAMU
kiungo : UTAFITI: KIWANGO CHA NIKOTINI KINACHOPATIKANA KWENYE ASALI HAKINA UWEZO WA KUDHURU MWILI WA BINADAMU

soma pia


UTAFITI: KIWANGO CHA NIKOTINI KINACHOPATIKANA KWENYE ASALI HAKINA UWEZO WA KUDHURU MWILI WA BINADAMU

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) imetoa ripoti ya tafiti ya asali zilizokusanywa zenye chembechembe za nikotini kuwa zimefanyiwa majaribio na  zimedhihirisha kuwa chembechembe  hizo ni chache sana na hazina uwezo wa  kudhuru mwili wa binadamu.

Akizungumza na Vyombo vya habari, Meneja Mawasiliano wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania, Glory Mziray amesema  TFS wamekuwa wakukisanya sampuli kila baada ya miaka miwili  kutoka kwa wafugaji nyuki na kuzipeleka kwenye  Maabara za kimataifa na mara zote  zimekutwa zikiwa na ubora wa hali ya juu unaokidhi masoko yote ya kitaifa na kimataifa.

Amezitaja tafiti  mbili zilizofanyika mwaka 2016 kuwa  lengo lake lilikuwa ni kuainisha madhara ya  ufugaji nyuki kwenye maeneo yanayolima Tumbaku na ameyataja maeneo yaliyofanyiwa utafiti huo kuwa  ni mkoa wa Tabora na Kigoma

Mziray  amesema tafiti hizo zimebainisha kuwa kiwango cha nikotini kinachopatikana  kwenye asali iliyochavushwa katika mikoa inayolima Tumbaku ni sawa na nikotini iliyopatikana kwenye asali  ilivyochavushwa na mimea mingine kama vile  nyanya na miombo hivyo kiwango hicho cha nikotini hakina madhara kwa binadamu.

Amesema  watumiaji wa asali wamekuwa wakihukumu uwepo wa nikotini   kwenye asali kwa kuangalia rangi ya asali sambamba na uchungu wa asali lakini asali za Tanzania zinatengenezwa kwa mchanganyiko wa maua ya mimea mbalimbali  jambo ambalo linathibitishwa si nikotini peke yake ndiyo inasababisha uchungu bali mimea mingine kama vile muarobaini. 

Mziray amewataka watumiaji wa asali kuendelea kuitumia kwa vile  asali ni chakula cha kiasili kinachotengenezwa kutokana na mchanganyiko wa mimea mbalimbali.Ameongeza kuwa, asali ni mchanganyiko uliotokana na maji, Sukari (fruktosi, glukosi, sakrosi) madini pamoja na vitamin.
Baadhi ya Sampuli ya asali inayopatikana katika maeneo mbalimbali za nchi. Asali hutumika kama dawa ya kutibu magonjwa mbalimbali kwa binadamu.


Hivyo makala UTAFITI: KIWANGO CHA NIKOTINI KINACHOPATIKANA KWENYE ASALI HAKINA UWEZO WA KUDHURU MWILI WA BINADAMU

yaani makala yote UTAFITI: KIWANGO CHA NIKOTINI KINACHOPATIKANA KWENYE ASALI HAKINA UWEZO WA KUDHURU MWILI WA BINADAMU Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala UTAFITI: KIWANGO CHA NIKOTINI KINACHOPATIKANA KWENYE ASALI HAKINA UWEZO WA KUDHURU MWILI WA BINADAMU mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/09/utafiti-kiwango-cha-nikotini.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "UTAFITI: KIWANGO CHA NIKOTINI KINACHOPATIKANA KWENYE ASALI HAKINA UWEZO WA KUDHURU MWILI WA BINADAMU"

Post a Comment