VULLU ATOA MSAADA WODI YA UZAZI KISARAWE NA SARUJI MIFUKO 80 KUKARABATI ZAHANATI NA SHULE

VULLU ATOA MSAADA WODI YA UZAZI KISARAWE NA SARUJI MIFUKO 80 KUKARABATI ZAHANATI NA SHULE - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa VULLU ATOA MSAADA WODI YA UZAZI KISARAWE NA SARUJI MIFUKO 80 KUKARABATI ZAHANATI NA SHULE, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : VULLU ATOA MSAADA WODI YA UZAZI KISARAWE NA SARUJI MIFUKO 80 KUKARABATI ZAHANATI NA SHULE
kiungo : VULLU ATOA MSAADA WODI YA UZAZI KISARAWE NA SARUJI MIFUKO 80 KUKARABATI ZAHANATI NA SHULE

soma pia


VULLU ATOA MSAADA WODI YA UZAZI KISARAWE NA SARUJI MIFUKO 80 KUKARABATI ZAHANATI NA SHULE




NA MWAMVUA MWINYI, KISARAWE 

MBUNGE wa viti maalum mkoani Pwani, Zainab Vullu ametoa msaada wa mapazia mazito yanayotumika kusaidia kuweka usiri kwa akinamama wanaokwenda kujifungua katika wodi ya uzazi hospital ya wilaya ya Kisarawe.

Msaada huo unaelezwa kuwaondolea kero waliyokuwa wakiipata akinamama hao kipindi cha nyuma ambapo walikuwa wakikataa kujifungua hospitalini hapo kwa kuhofia kukosa faragha wakati wa kujifungua. 

Mbali ya msaada huo pia ametoa mifuko 80 ya saruji kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa vituo vya afya ,zahanati na shule vyote vikiwa na thamani ya zaidi ya sh.milioni mbili. 

Akitoa msaada huo ,Zainab alieleza kipindi cha nyuma akinamama wanaojifungua walikuwa wanakaa sehemu ambayo haijazibwa jambo ambalo limemsukuma kujitolea mapazia hayo. “Faragha inaanza tangu pale anapoanza kutafutwa mtoto hadi anapozaliwa lazima usiri uwepo,” alifafanua Zainab.
Nae mkuu wa wilaya ya Kisarawe ,Jokate Mwegelo alimshukuru mbunge huyo na kudai suala la ukosefu wa mapazia hayo ilikuwa ni changamoto kwa akinamama wanaojifungua. 

Mwenyekiti wa halmashauri hiyo, Hamis Dikupatile alisema, serikali imekuwa ikijitahidi kuboresha mazingira ya kutolea huduma lakini bado jitihada zinapaswa kufanywa na kila mmoja. Mganga mkuu wa halmashauri ya Kisarawe, Jonathan Budenu alibainisha kutokana na changamoto hiyo baadhi ya akinamama walikuwa wakikataa kujifungulia hapo kutokana na hali hiyo.

MBUNGE wa viti maalum mkoani Pwani, Zainab Vullu akikata utepe,kulia ni MKuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo


Hivyo makala VULLU ATOA MSAADA WODI YA UZAZI KISARAWE NA SARUJI MIFUKO 80 KUKARABATI ZAHANATI NA SHULE

yaani makala yote VULLU ATOA MSAADA WODI YA UZAZI KISARAWE NA SARUJI MIFUKO 80 KUKARABATI ZAHANATI NA SHULE Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala VULLU ATOA MSAADA WODI YA UZAZI KISARAWE NA SARUJI MIFUKO 80 KUKARABATI ZAHANATI NA SHULE mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/12/vullu-atoa-msaada-wodi-ya-uzazi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "VULLU ATOA MSAADA WODI YA UZAZI KISARAWE NA SARUJI MIFUKO 80 KUKARABATI ZAHANATI NA SHULE"

Post a Comment