title : HASHIMU RUNGWE ASHIKIRIWA NA POLISI.
kiungo : HASHIMU RUNGWE ASHIKIRIWA NA POLISI.
HASHIMU RUNGWE ASHIKIRIWA NA POLISI.
MwambawahabariDar es Salaam. Aliyekuwa mgombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, Hashim Rungwe anashikiliwa na polisi kwa siku nne sasa.
Rungwe ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha Chaumma anashikiliwa katika Kituo Kikuu cha Polisi cha Kanda Maalumu ya Dar es Salaam.
Kamanda wa Polisi wa kanda hiyo, Lazaro Mambosasa amesema leo Septemba 5 kuwa, Rungwe anashikiliwa kituoni hapo kwa siku nne.
Hata hivyo, Kamanda Mambosasa hakutaka kuingia kwa undani kuhusu suala hilo akisema hana taarifa za kutosha.
Mwananchi:
Hivyo makala HASHIMU RUNGWE ASHIKIRIWA NA POLISI.
yaani makala yote HASHIMU RUNGWE ASHIKIRIWA NA POLISI. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala HASHIMU RUNGWE ASHIKIRIWA NA POLISI. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/09/hashimu-rungwe-ashikiriwa-na-polisi.html
0 Response to "HASHIMU RUNGWE ASHIKIRIWA NA POLISI."
Post a Comment