CCM Yatoa Tamko Tundu Lissu Kupigwa Risasi

CCM Yatoa Tamko Tundu Lissu Kupigwa Risasi - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa CCM Yatoa Tamko Tundu Lissu Kupigwa Risasi, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : CCM Yatoa Tamko Tundu Lissu Kupigwa Risasi
kiungo : CCM Yatoa Tamko Tundu Lissu Kupigwa Risasi

soma pia


CCM Yatoa Tamko Tundu Lissu Kupigwa Risasi

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia kwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Humphrey Polepole kimelaani kitendo alichofanyiwa Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu kwa kupigwa risasi leo mchana nyumbani kwake Dodoma.

Taarifa hiyo ya CCM inalaani kitendo hicho cha kikatili na kusema si kitendo cha utu hivyo kimelitaka jeshi la polisi kufanya uchunguzi wa tukio hilo na kuwachukulia sheria kali wote ambao watapatikana kuhusika katika tukio hilo. 
 



Hivyo makala CCM Yatoa Tamko Tundu Lissu Kupigwa Risasi

yaani makala yote CCM Yatoa Tamko Tundu Lissu Kupigwa Risasi Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala CCM Yatoa Tamko Tundu Lissu Kupigwa Risasi mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/09/ccm-yatoa-tamko-tundu-lissu-kupigwa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "CCM Yatoa Tamko Tundu Lissu Kupigwa Risasi"

Post a Comment