RAIS WA NIGERIA BUHARI AREJEA NYUMBANI

RAIS WA NIGERIA BUHARI AREJEA NYUMBANI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa RAIS WA NIGERIA BUHARI AREJEA NYUMBANI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : RAIS WA NIGERIA BUHARI AREJEA NYUMBANI
kiungo : RAIS WA NIGERIA BUHARI AREJEA NYUMBANI

soma pia


RAIS WA NIGERIA BUHARI AREJEA NYUMBANI

Baada ya kukaa takribani miezi mitatu akipatiwa matibabu nchini Uingereza hatimaye Rais wa nchini Nigeria, Muhammadu Buhari amewasili katika mji mkuu wa Abuja na kupokelewa na viongozi wa ngazi za juu wa taifa hilo wakiongozwa na Makamu wa Rais wa nchi hiyo.
Rais Buhari alikuwa katika matibabu kwenye moja ya hospitali nchini humo ambapo alilazwa kwa takriban miezi mitatu. Hata hivyo haiJAfahamika rAIS HUYO alikuwa akiugua ugonjwa gani.
Hii ni mara ya tatu kwa kiongozi huyo kwenda Uingereza kwa ajili ya kupatiwa matibabu. Jumatatu ijayo kiongozi huyo anatarajiwa kuhutumia taifa hilo


Hivyo makala RAIS WA NIGERIA BUHARI AREJEA NYUMBANI

yaani makala yote RAIS WA NIGERIA BUHARI AREJEA NYUMBANI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala RAIS WA NIGERIA BUHARI AREJEA NYUMBANI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/08/rais-wa-nigeria-buhari-arejea-nyumbani.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "RAIS WA NIGERIA BUHARI AREJEA NYUMBANI"

Post a Comment