title : Mashirika ya ndege, TTB wakubaliana
kiungo : Mashirika ya ndege, TTB wakubaliana
Mashirika ya ndege, TTB wakubaliana
Mkurugenzi Mtendaji Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) Bibi Devota Mdachi na Meneja Mkazi Shirika la Ndege la Ethiopian Airlines, Bwana Dahlak Teferi wakibadilishana hati za makubaliano ya kufanikisha maonyesho ya utalii ‘Swahili International Tourism Expo,’ jijini Dar es Salaam jana, maonyesho hayo yatakayofanyika Oktoba 13-15 mwaka huu.
Mkurugenzi mtendaji wa Bodi ya utalii Bi Devota Mdachi akizungumza katika hafla ya kutia saini ushirikiano wa kufanikisha maonyesho ya utalii ‘Swahili International Tourism Expo,’ jijini Dar es Salaam jana, maonyesho hayo yatakayofanyika Oktoba 13-15 mwaka huu, (kushoto) Mhandisi Ladislaus Matindi Mkurugenzi mtendaji Air Tanzania wapili( kulia) Bwana Dahlak Teferi Meneja wa Ethiopian Airlines, (kulia) Lima Silva Mwakilishi wa mauzo mwandamizi Shirika la ndege la Ethiopia, Ethiopian Airlines.Hivyo makala Mashirika ya ndege, TTB wakubaliana
yaani makala yote Mashirika ya ndege, TTB wakubaliana Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Mashirika ya ndege, TTB wakubaliana mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/08/mashirika-ya-ndege-ttb-wakubaliana.html
0 Response to "Mashirika ya ndege, TTB wakubaliana"
Post a Comment