DK.SHEIN ATEMBELEA MIRADI YA WANANCHI WA WILAYA YA KUSINI UNGUJA, ZANZIBAR

DK.SHEIN ATEMBELEA MIRADI YA WANANCHI WA WILAYA YA KUSINI UNGUJA, ZANZIBAR - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa DK.SHEIN ATEMBELEA MIRADI YA WANANCHI WA WILAYA YA KUSINI UNGUJA, ZANZIBAR, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : DK.SHEIN ATEMBELEA MIRADI YA WANANCHI WA WILAYA YA KUSINI UNGUJA, ZANZIBAR
kiungo : DK.SHEIN ATEMBELEA MIRADI YA WANANCHI WA WILAYA YA KUSINI UNGUJA, ZANZIBAR

soma pia


DK.SHEIN ATEMBELEA MIRADI YA WANANCHI WA WILAYA YA KUSINI UNGUJA, ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) alipokuwa akiangalia Tungule wakati alipotembelea Biashara za Kilimo za Ushirika wa Mtule AMCOS, pamoja na Viongozi wengine wakati alipotembelea katika Ofisi ya Ushirika huo kupata maelezo akiwa katika ziara ya kutembelea Miradi mbali mbali ya Wananchi wa Wilaya ya Kusini Unguja,(kulia) Mwenyekiti wa Ushirika wa Mtule AMCOS Bw.Mgana Khamis Zidi.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein (wa pili kulia) alipokuwa akiuliza jambo wakati alipotembelea Biashara za Kilimo za Ushirika wa Mtule AMCOS leo pamoja na Viongozi wengine (Pichani) matikiti yaliyouzwa kati ya Shilingi za Kitanzania Elfu tano Mpaka Elfu Nne wakati alipotembelea katika Ofisi ya Ushirika huo kupata maelezo akiwa katika ziara ya kutembelea Miradi mbali mbali ya Wananchi wa Wilaya ya Kusini Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein akifuatana na Mwenyekiti wa Ushirika wa Mtule AMCOS Bw.Mgana Khamis Zidi (katikati) pamoja na Viongozi wengine wakifuatana mara baada ya kuwasili katika Ofisi ya Ushirika huo leo na kupata maelezo akiwa katika ziara ya kutembelea Miradi mbali mbali ya Wananchi wa Wilaya ya Kusini Unguja.



Hivyo makala DK.SHEIN ATEMBELEA MIRADI YA WANANCHI WA WILAYA YA KUSINI UNGUJA, ZANZIBAR

yaani makala yote DK.SHEIN ATEMBELEA MIRADI YA WANANCHI WA WILAYA YA KUSINI UNGUJA, ZANZIBAR Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala DK.SHEIN ATEMBELEA MIRADI YA WANANCHI WA WILAYA YA KUSINI UNGUJA, ZANZIBAR mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/08/dkshein-atembelea-miradi-ya-wananchi-wa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "DK.SHEIN ATEMBELEA MIRADI YA WANANCHI WA WILAYA YA KUSINI UNGUJA, ZANZIBAR"

Post a Comment