Wapiga Dili Wamzuia Rais Magufuli Kusafiri Nje ya Nchi

Wapiga Dili Wamzuia Rais Magufuli Kusafiri Nje ya Nchi - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Wapiga Dili Wamzuia Rais Magufuli Kusafiri Nje ya Nchi, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Wapiga Dili Wamzuia Rais Magufuli Kusafiri Nje ya Nchi
kiungo : Wapiga Dili Wamzuia Rais Magufuli Kusafiri Nje ya Nchi

soma pia


Wapiga Dili Wamzuia Rais Magufuli Kusafiri Nje ya Nchi

Rais John Magufuli amesema amepata mialiko zaidi ya 60 kwenda nje ya nchi baada ya kuwa Rais lakini ameikataa kwa sababu anataka kuishughulikia Tanzania kwanza.

Ameyasema hayo jana (Jumanne Julai 4) wakati akihutubia wakazi wa Sengerema katika uzinduzi wa mradi wa maji Sengerema.

Rais Magufuli amesema hana haja ya kwenda nje ya nchi kwa sababu bado ana mzigo mkubwa wa kumaliza ufisadi.

“Niende nje kufanya nini wakati ntaenda tu nikishastaafu, nataka nimalize kwanza haya ya hapa ndani,” alisema.


Hivyo makala Wapiga Dili Wamzuia Rais Magufuli Kusafiri Nje ya Nchi

yaani makala yote Wapiga Dili Wamzuia Rais Magufuli Kusafiri Nje ya Nchi Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Wapiga Dili Wamzuia Rais Magufuli Kusafiri Nje ya Nchi mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/wapiga-dili-wamzuia-rais-magufuli.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Wapiga Dili Wamzuia Rais Magufuli Kusafiri Nje ya Nchi"

Post a Comment