Taarifa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki

Taarifa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Taarifa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Taarifa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki
kiungo : Taarifa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki

soma pia


Taarifa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki


Mwenye picha katika kitambulisho hapo juu ni Bi. Loveness Herman (69), Mbelgiji mwenye asili ya Tanzania ambaye alifariki huko Liege, Ubelgiji tokea tarehe 18 Mei 2.

Marehemu Loveness Herman kabla ya kuhamia Ubelgiji na kuchukuwa uraia wa nchi hiyo katika miaka ya 1980 alikuwa akiishi Dar es Salaam. Tokea alipohamia Ubelgiji, Marehemu alikuwa akiishi peke yake na hakuwahi kupata mtoto. 

Kwa taarifa hii, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kupitia Ubalozi wake wa Brussels inawatafuta ndugu zake ili wape taarifa kamili za msiba huo

Kwa maelezo zaidi piga simu katika namba hii +3226406500 au barua pepe brussels@nje.go.tz. 


Hivyo makala Taarifa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki

yaani makala yote Taarifa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Taarifa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/taarifa-kutoka-wizara-ya-mambo-ya-nje.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Taarifa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki"

Post a Comment