prof dos santos kuwasilisha mada ya uhifadhi wa misitu na mpango mkakati wa utalii nchini

prof dos santos kuwasilisha mada ya uhifadhi wa misitu na mpango mkakati wa utalii nchini - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa prof dos santos kuwasilisha mada ya uhifadhi wa misitu na mpango mkakati wa utalii nchini, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : prof dos santos kuwasilisha mada ya uhifadhi wa misitu na mpango mkakati wa utalii nchini
kiungo : prof dos santos kuwasilisha mada ya uhifadhi wa misitu na mpango mkakati wa utalii nchini

soma pia


prof dos santos kuwasilisha mada ya uhifadhi wa misitu na mpango mkakati wa utalii nchini

Mtendaji Mkuu Wakala wa Huduma za Misitu (TFS), Prof. Dos Santos Silayo (kulia) akimsikiliza Mkurugenzi wa Utalii na Masoko wa Mamlaka ya Hifadhi za Taifa Tanzania, Ibrahim Mussa (kushoto) alipokuwa akimueleza mambo mbalimbali ya uhifadhi na changomoto zake inapokuja suala la kushirikisha vyombo vya habari kabla ya kufungua mkutano wa sita wa wahariri na wanahabari waandamizi unaohusu sekta ya utalii nchini ambao umeandaliwa na Hifadhi za Taifa (TANAPA) unaofanyika jijini Tanga 27 - 29, Julai 2017. Pichani kati ni Mkurugenzi Mkuu wa Shrika la Hifadhi za Taifa,(TANAPA),Allan Kijazi 
 
Katika mkutano huo Prof  Silayo atawasilisha mada "uhifadhi wa misitu ya hifadhi ya asili na mpango mkakati wa utalii Kesho Ijumaa ya tarehe 28 Julai 2017 saa 05:45 asubuhi na kurushwa moja kwa moja kupitia ukurasa wa facebook wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (http://ift.tt/2vaBynx). 
 

usikose kuungana naye na atajibu maswali yatakayoibuka kutokana na mada atakayoiwakilisha!

Mratibu wa Mradi wa Misitu ya Hifadhi ya Mazingira Asilia Tanzania, Gerald Kamwenda (Kushoto) akijadiliana jambo na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Prof Dos Santos Silayo mara baada ya kupokea taarifa za wajumbe wa Mkuno Mkuu wa Mwaka wa Wahariri na Wanahabari Waandamizi ulioandaliwa na Hifadhi za Taifa Tanzania kutembelea Hifadhi ya Misitu Asilia ya Amani Siku ya Jumamosi (Julai 29,2017).




Hivyo makala prof dos santos kuwasilisha mada ya uhifadhi wa misitu na mpango mkakati wa utalii nchini

yaani makala yote prof dos santos kuwasilisha mada ya uhifadhi wa misitu na mpango mkakati wa utalii nchini Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala prof dos santos kuwasilisha mada ya uhifadhi wa misitu na mpango mkakati wa utalii nchini mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/prof-dos-santos-kuwasilisha-mada-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "prof dos santos kuwasilisha mada ya uhifadhi wa misitu na mpango mkakati wa utalii nchini"

Post a Comment