Rais wa Zanzibar Dk.Shein aelekea Uingereza kwa ziara maalumu ya wiki mbili leo

Rais wa Zanzibar Dk.Shein aelekea Uingereza kwa ziara maalumu ya wiki mbili leo - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Rais wa Zanzibar Dk.Shein aelekea Uingereza kwa ziara maalumu ya wiki mbili leo, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Rais wa Zanzibar Dk.Shein aelekea Uingereza kwa ziara maalumu ya wiki mbili leo
kiungo : Rais wa Zanzibar Dk.Shein aelekea Uingereza kwa ziara maalumu ya wiki mbili leo

soma pia


Rais wa Zanzibar Dk.Shein aelekea Uingereza kwa ziara maalumu ya wiki mbili leo

 Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein (kushoto) alipokuwa akiagana na Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Mhe,Ayoub Mohamed Mahmoud alipokuwa akiondoka chini leo akifuatana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani)  kuelekea Nchini Uingereza kwa ziara maalum ya wiki mbili
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiagana na 
​Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Balozi Seif Ali Iddi pamoja ​
Viongozi mbali mbali 
​ 
 alipokuwa akiondoka 
​n
chini leo na Ujumbe wake kuelekea Nchini Uingereza kwa ziara 
​maalum 
ya wiki
​ mbili

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiagana na Viongozi mbali mbali wa Chama na Serikali alipokuwa akiondoka nchini leo na Ujumbe wake kuelekea Nchini Uingereza kwa ziara maalum  ya wiki mbili. Picha na IKULU


Hivyo makala Rais wa Zanzibar Dk.Shein aelekea Uingereza kwa ziara maalumu ya wiki mbili leo

yaani makala yote Rais wa Zanzibar Dk.Shein aelekea Uingereza kwa ziara maalumu ya wiki mbili leo Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Rais wa Zanzibar Dk.Shein aelekea Uingereza kwa ziara maalumu ya wiki mbili leo mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/rais-wa-zanzibar-dkshein-aelekea.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Rais wa Zanzibar Dk.Shein aelekea Uingereza kwa ziara maalumu ya wiki mbili leo"

Post a Comment