MSTAAFU ATOA WITO WANANCHI KUJIUNGA NA PSPF KUPITIA UCHANGIAJI WA HIARI PSS, ASEMA AMEONA FAIDA ZAKE IKIWEMO BIMA YA AFYA

MSTAAFU ATOA WITO WANANCHI KUJIUNGA NA PSPF KUPITIA UCHANGIAJI WA HIARI PSS, ASEMA AMEONA FAIDA ZAKE IKIWEMO BIMA YA AFYA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MSTAAFU ATOA WITO WANANCHI KUJIUNGA NA PSPF KUPITIA UCHANGIAJI WA HIARI PSS, ASEMA AMEONA FAIDA ZAKE IKIWEMO BIMA YA AFYA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MSTAAFU ATOA WITO WANANCHI KUJIUNGA NA PSPF KUPITIA UCHANGIAJI WA HIARI PSS, ASEMA AMEONA FAIDA ZAKE IKIWEMO BIMA YA AFYA
kiungo : MSTAAFU ATOA WITO WANANCHI KUJIUNGA NA PSPF KUPITIA UCHANGIAJI WA HIARI PSS, ASEMA AMEONA FAIDA ZAKE IKIWEMO BIMA YA AFYA

soma pia


MSTAAFU ATOA WITO WANANCHI KUJIUNGA NA PSPF KUPITIA UCHANGIAJI WA HIARI PSS, ASEMA AMEONA FAIDA ZAKE IKIWEMO BIMA YA AFYA


MSTAAFU wa utumishi wa umma, Bi. Marcella Isidori Chanda, amewahimiza wananchi na wastaafu wenzake, kujiunga na Mfuko wa Pensehni wa PSPF, kupitia mpango wake wa uchangiaji wa Hiari, (PSS), kwani kuna faida nyingi mwanachama atazipata.

Bi. Chanda, ameyasema hayo muda mfupi baada ya kujiunga na Mpango huo wa PSS, leo Julai 10, 2017, baada ya kupatiwa elimu ya huduma zitolewazo na PSPF kwa wanachama wake.

“Mimi nilikuwa mtumishi wa benki na nimestafu mwaka 2013, ni meona iko haja ya kujiunga na mpango huu ambao hatimaye moja ya mambo yaliyonivutia ni kupatiwa bima ya afya, kwani nimeelzwakuwa ukiwa mwanachama wa PSS, basi unapata sifa za kujiunga na bima ya Afya, tofauti na ukiwa mtu binafsi gharama zinakuwa kubwa mno na zinafikia hadi shilingi 1,500,000nkwa mwaka.” Alisema Bi. Chanda.

Akieleza zaidi, Bi. Chanda alisema, amefikia uamuzi wa kujiunga naPSPF, baada ya kupata taarifa nyingi kupitia vyombo vya habari kuwa, lakini pia majirani na jamaa zngu kuwa wamekuwa wakifaidika na huduma ya afya kupitia bima ya afya.

Mstaafu huyo alsiema, leo amejiunga na PSS na pia atamueleza mumewe naye pia ajiunge. “Natoa wito wka wastaafu wenzangu na wananchi kwa ujumla kujiunga na PSPF ili kujihami na gharama za matibabu. Kwa upande wake, Afisa Uhusiano Mwandamizi wa PSPF, Bw. Abdul Njaidi alisema, karibu asilimia 60 ya wananchi wanaofika kwenye banda hilo, wamekuwa wakijunga na Mpango wa PSS na moja ya sababu kubwa ni kupatiwa bima ya Afya.


Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhandisi Ramo Makani, (kulia), akizungumza jambo mbele ya Afsia Uhusiano Mwandamizi wa PSPF, Bw. Abdul Njaidi alipotembelea banda la Mfuko huo leo Julai 10, 2017.
Mkurugenzi wa Mawasiliano na Elimu kwa Umma, wa Mamlaka ya Udhibiti na Usimamizi Hifadhi ya Jamii, (SSRA), Bi. Sarah Kibonde Msika, (kushoto) akimsikiliza Bw. Njaidi kwenye banda la PSPF, Julai 10, 2017. SSRA imeweka maafisa wake katika kila banda la Mifuko ya Hifadhio ya Jamii, ili kufuatilia utoaji huduma wa Mifuko hiyo kwa wananchi kwenye maonesho ya 41 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam.


Afasia Msaidizi wa Uenddshaji wa PSPF, Bw. Win-God Simon, (kushoto), akiwahudumia maafisa hawa wa polisi ambao ni wanachama wa Mfuko.



Hivyo makala MSTAAFU ATOA WITO WANANCHI KUJIUNGA NA PSPF KUPITIA UCHANGIAJI WA HIARI PSS, ASEMA AMEONA FAIDA ZAKE IKIWEMO BIMA YA AFYA

yaani makala yote MSTAAFU ATOA WITO WANANCHI KUJIUNGA NA PSPF KUPITIA UCHANGIAJI WA HIARI PSS, ASEMA AMEONA FAIDA ZAKE IKIWEMO BIMA YA AFYA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MSTAAFU ATOA WITO WANANCHI KUJIUNGA NA PSPF KUPITIA UCHANGIAJI WA HIARI PSS, ASEMA AMEONA FAIDA ZAKE IKIWEMO BIMA YA AFYA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/mstaafu-atoa-wito-wananchi-kujiunga-na.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MSTAAFU ATOA WITO WANANCHI KUJIUNGA NA PSPF KUPITIA UCHANGIAJI WA HIARI PSS, ASEMA AMEONA FAIDA ZAKE IKIWEMO BIMA YA AFYA"

Post a Comment