MAKAMU WA RAIS AREJEA NCHINI AKITOKEA NCHINI ETHIOPIA

MAKAMU WA RAIS AREJEA NCHINI AKITOKEA NCHINI ETHIOPIA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MAKAMU WA RAIS AREJEA NCHINI AKITOKEA NCHINI ETHIOPIA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MAKAMU WA RAIS AREJEA NCHINI AKITOKEA NCHINI ETHIOPIA
kiungo : MAKAMU WA RAIS AREJEA NCHINI AKITOKEA NCHINI ETHIOPIA

soma pia


MAKAMU WA RAIS AREJEA NCHINI AKITOKEA NCHINI ETHIOPIA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan amerejea nchini akitokea jijini Addis Ababa, Ethiopia ambapo alimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mkutano wa 29 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU). Katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Makamu wa Rais wa akipokelewa na Mkuu wa Wilaya ya Temeke Bw. Felix Lyaviva . Katika Ujumbe wa Mkutano huo Makamu wa Rais pia aliambatana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga.



Hivyo makala MAKAMU WA RAIS AREJEA NCHINI AKITOKEA NCHINI ETHIOPIA

yaani makala yote MAKAMU WA RAIS AREJEA NCHINI AKITOKEA NCHINI ETHIOPIA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MAKAMU WA RAIS AREJEA NCHINI AKITOKEA NCHINI ETHIOPIA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/makamu-wa-rais-arejea-nchini-akitokea.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MAKAMU WA RAIS AREJEA NCHINI AKITOKEA NCHINI ETHIOPIA"

Post a Comment