title : MAKAMU WA RAIS APOKEA UJUMBE MAALUM WA WAZIRI MKUU WA LESOTHO KWA NIABA YA RAIS MAGUFULI
kiungo : MAKAMU WA RAIS APOKEA UJUMBE MAALUM WA WAZIRI MKUU WA LESOTHO KWA NIABA YA RAIS MAGUFULI
MAKAMU WA RAIS APOKEA UJUMBE MAALUM WA WAZIRI MKUU WA LESOTHO KWA NIABA YA RAIS MAGUFULI
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa wa nchi ya Lesotho Mhe. Lesogo Makgothi (kushoto) ambaye alifika ofisini kwa Makamu wa Rais kuwasilisha Ujumbe Maalum wa Rais Dkt. John Pombe Magufuli kutoka kwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo ambapo Makamu wa Rais aliupokea kwa niaba. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais-Ikulu, Dar Es Salaam)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu akimsikiliza Waziri wa Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa wa nchi ya Lesotho Mhe. Lesogo Makgothi (kushoto) ambaye alifika ofisini kwa Makamu wa Rais kuwasilisha Ujumbe Maalum wa Rais Dkt. John Pombe Magufuli kutoka kwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo ambapo Makamu wa Rais aliupokea kwa niaba. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais-Ikulu, Dar Es Salaam)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu akipokea Ujumbe Maalumu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kutoka kwa Waziri Mkuu wa nchi ya Lesotho na kukabidhiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa wa nchi ya Lesotho Mhe. Lesogo Makgothi (kushoto) ofisini kwake, Ikulu jijini Dar es Salaam.(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais-Ikulu, Dar Es Salaam)
Hivyo makala MAKAMU WA RAIS APOKEA UJUMBE MAALUM WA WAZIRI MKUU WA LESOTHO KWA NIABA YA RAIS MAGUFULI
yaani makala yote MAKAMU WA RAIS APOKEA UJUMBE MAALUM WA WAZIRI MKUU WA LESOTHO KWA NIABA YA RAIS MAGUFULI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala MAKAMU WA RAIS APOKEA UJUMBE MAALUM WA WAZIRI MKUU WA LESOTHO KWA NIABA YA RAIS MAGUFULI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/makamu-wa-rais-apokea-ujumbe-maalum-wa.html
0 Response to "MAKAMU WA RAIS APOKEA UJUMBE MAALUM WA WAZIRI MKUU WA LESOTHO KWA NIABA YA RAIS MAGUFULI"
Post a Comment