Maisha : Mhe. Tundu Lissu Apata Dhamana

Maisha : Mhe. Tundu Lissu Apata Dhamana - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Maisha : Mhe. Tundu Lissu Apata Dhamana, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Maisha : Mhe. Tundu Lissu Apata Dhamana
kiungo : Maisha : Mhe. Tundu Lissu Apata Dhamana

soma pia


Maisha : Mhe. Tundu Lissu Apata Dhamana


Tundu Lissu, hatimaye amepata dhamana baada ya ombi la mawakili wa serikali la kuomba mahakam imnyime dhamana  kutupiliwa mbali.

Hakimu Mkuu Mkazi wa Mahakama ya Kisutu,  Wilbard Mashauri amesema, baada ya kupitia hoja za serikali na majibu ya mawakili wa utetezi, haoni mantiki ya kuzuia dhamana kwa Lissu.

Hivyo , Hakimu Mashauri amemtaka Lissu kuwa na wadhamini wawili wanaoaminika ambapo kila mmoja atasaini bondi ya Sh. 10 milioni.

Kesi imeahirishwa kwa muda kusubiri Lissu atimize masharti aliyopewa.


Hivyo makala Maisha : Mhe. Tundu Lissu Apata Dhamana

yaani makala yote Maisha : Mhe. Tundu Lissu Apata Dhamana Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Maisha : Mhe. Tundu Lissu Apata Dhamana mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/maisha-mhe-tundu-lissu-apata-dhamana.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Maisha : Mhe. Tundu Lissu Apata Dhamana"

Post a Comment