Hali ya Yusuf Manji bado tete, kesi yake yapigwa kalenda hadi mwezi ujao

Hali ya Yusuf Manji bado tete, kesi yake yapigwa kalenda hadi mwezi ujao - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Hali ya Yusuf Manji bado tete, kesi yake yapigwa kalenda hadi mwezi ujao, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Hali ya Yusuf Manji bado tete, kesi yake yapigwa kalenda hadi mwezi ujao
kiungo : Hali ya Yusuf Manji bado tete, kesi yake yapigwa kalenda hadi mwezi ujao

soma pia


Hali ya Yusuf Manji bado tete, kesi yake yapigwa kalenda hadi mwezi ujao




Na Karama Kenyunko, Globu ya jamii.

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeambiwa Mfanyabiashara  Yusufali Manji (41) bado anaumwa na yuko kwenye matibabu katika hospitali ya gereza la mahabusu la Keko jijini Dar es salam.
Wakili wa Serikali Mwandamizi Bw. Nassoro Katuga amedai hayo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Mhe. Huruma Shaidi wakati kesi hiyo ilikuja kwa kutajwa.
Amedai kuwa, kesi hiyo leo ilikuja kwa kutajwa lakini Upelelezi bado haujakamilika na kesi hiyo itatajwa tena Agosti 4, mwaka huu.

Katika kesi hiyo Manji na wenzake watatu wanakabiliwa na mashtaka saba chini ya sheria ya uhujumu uchumi na usalama wa Taifa.
Katika Mashtaka hayo, wanadaiwa kukutwa na vitambaa vinavyotengeneza sare za Jeshi la Wananchi wa Tanzania vyenye thamani ya zaidi ya milioni 195.5 na mihuri ya JWTZ na magari ya serikali kinyume cha sheria.
Washtakiwa wengine katika kesi hiyo ni Meneja Rasilimali watu wa kampuni ya Quality Group Deogratius Kisinda(28), mtunza stoo Abdallah Sangey(46) na Thobias Fwere (43) mkazi wa Chanika.


Mfanyabiashara  Yusufali Manji



Hivyo makala Hali ya Yusuf Manji bado tete, kesi yake yapigwa kalenda hadi mwezi ujao

yaani makala yote Hali ya Yusuf Manji bado tete, kesi yake yapigwa kalenda hadi mwezi ujao Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Hali ya Yusuf Manji bado tete, kesi yake yapigwa kalenda hadi mwezi ujao mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/hali-ya-yusuf-manji-bado-tete-kesi-yake.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Hali ya Yusuf Manji bado tete, kesi yake yapigwa kalenda hadi mwezi ujao"

Post a Comment