BENKI YA UBA YAWAVUTIA WATEJA KATIKA MAONESHO YA SABASABA

BENKI YA UBA YAWAVUTIA WATEJA KATIKA MAONESHO YA SABASABA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa BENKI YA UBA YAWAVUTIA WATEJA KATIKA MAONESHO YA SABASABA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : BENKI YA UBA YAWAVUTIA WATEJA KATIKA MAONESHO YA SABASABA
kiungo : BENKI YA UBA YAWAVUTIA WATEJA KATIKA MAONESHO YA SABASABA

soma pia


BENKI YA UBA YAWAVUTIA WATEJA KATIKA MAONESHO YA SABASABA

Afisa wa Bank ya UBA Tanzania, Bi. Mtinta Joseph Ringa pamoja na afisa wa bank Bw. Sihika Malunguja wakifurahi kumuhudumia mmoja wa wateja aliyetembelea banda la bank ya UBA Tanzania katika Maonyesho ya 41 ya kibiashara Tanzania yaliyoanza hivi karibu. Bank ya UBA inawakaribisha wateja wote kuweza kufika katika banda lao kwaajili ya kujipatia huduma mbalimbali za kibenki ikiwemo na kufungua akaunti na kujipatia kadi mpya ya Mastercard ambayo unaweza kuwa nayo bila kuwa na akaunti.
Afisa wa benki ya UBA Tanzania, Bw. Fahimu Zuberi akimpatia maelezo kuhusiana na kadi mpya za mastercard mmoja wa wateja waliotembelea banda la benki hiyo lililopo katika banda la Sabasaba kwenye maonyesho ya 41 ya kibiashara ya kimataifa yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa Jijini Dar Es Salaam.
 Afisa wa benki ya UBA Tanzania, Bw Fahimu Zuberi akiendelea kumpatia maelekezo ya kina kuhusiana na kadi mpya mpya za mastercard ambazo mteja anaweza kuwa nayo bila kuwa na akaunti ya benki

Wafanyakazi wa benki ya UBA Tanzania waliopo kwenye banda lao katika maonyesho ya 41 ya kimataifa ya biashara wakiwa katika picha ya pamoja huku wakifurahia kuwahudumia baadhi ya wateja waliofika katika banda lao huku wakiwakaribisha wateja kufika katika banda lao na kujipatia huduma mbalimbali za kibenki.


Hivyo makala BENKI YA UBA YAWAVUTIA WATEJA KATIKA MAONESHO YA SABASABA

yaani makala yote BENKI YA UBA YAWAVUTIA WATEJA KATIKA MAONESHO YA SABASABA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala BENKI YA UBA YAWAVUTIA WATEJA KATIKA MAONESHO YA SABASABA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/benki-ya-uba-yawavutia-wateja-katika.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "BENKI YA UBA YAWAVUTIA WATEJA KATIKA MAONESHO YA SABASABA"

Post a Comment