Waziri wa Maliasili na Utalii Azindua Maonesho ya Kimataifa ya Utalii na Viwanda Mkoani Kilimanjaro.

Waziri wa Maliasili na Utalii Azindua Maonesho ya Kimataifa ya Utalii na Viwanda Mkoani Kilimanjaro. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Waziri wa Maliasili na Utalii Azindua Maonesho ya Kimataifa ya Utalii na Viwanda Mkoani Kilimanjaro., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Waziri wa Maliasili na Utalii Azindua Maonesho ya Kimataifa ya Utalii na Viwanda Mkoani Kilimanjaro.
kiungo : Waziri wa Maliasili na Utalii Azindua Maonesho ya Kimataifa ya Utalii na Viwanda Mkoani Kilimanjaro.

soma pia


Waziri wa Maliasili na Utalii Azindua Maonesho ya Kimataifa ya Utalii na Viwanda Mkoani Kilimanjaro.

Waziri wa Malisili na Utalii,Prof Jumanne Maghembe akizungumza wakati wa ufunguzi wa maonesho ya tatu ya kimataifa ya Utalii yanayofanyika katika uwanja wa Chuo Kikuu Ushirika mjini Moshi.
Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) Devota Mdachi akizungumza wakati wa ufunguzi rasmi wa maonesho makubwa Afrika Mashariki ya Utalii na Viwanda yanayofanyika katika uwanja wa Chuo Kikuu Cha Ushirika mjini Moshi.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TTB,Jaji Mstaafu Thomas Mihayo akisalimia wakati wa ufunguzi wa maonesho hayo.
Mkurugenzi Mwenza wa Kampuni ya Kili Fair inayoratibu maonesho hayo Dominic Shoo akisoma taarifa kuhsu maonesho hayo yanayofanyika wa mara ya tatu sasa .
Mkuu wa wilaya ya Moshi,Kippi Warioba akitoa neno kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi katika ufunguzi wa maonesho ya Kili Fair yanayojumuisha zaidi ya washiriki 300 kutoka nchi tisa.
Mkurugenzi wa Kili Fair ,Dominic Shoo akimuongoza mgeni rasmi katika ufunguzi wa maonesho hayo,Waziri wa Maliasili na Utalii,Prof Jumanne Maghembe kutembelea sehemu maonesho katika uwanja wa Ushirika mjini Moshi.
Waziri wa Maliasili na Utalii,Prof Jumanne Maghembe akimsadia Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii,TTB Bi Devota Mdachi kufika katika eneo la mfano wa Kilele cha Uhuru ,Mlima Kilimanjaro.
Waziri wa Maliasili na Utalii,Prof Jumanne Maghembe ,Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi (TTB) Jaji Mstaafu ,Thomas Mihayo,Mkuu wa wilaya ya Moshi Kippi Warioba na viongozi wengine wakiwa katika kilele cha Uhuru cha Mfano kilichopo katika maonesho yanayoendelea katika uwanja wa chuo kikuu cha ushirika mjini Moshi.
Waziri wa Malisili na Utalii,Prof Jumanne Maghembe akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wengine mara baada ya kufungua maonesho ya Kili Fair.
Waziri Prof Maghembe akitizama ngoma ya kikundi cha jamii ya Maasai kikitoa burudani katika maonesho hayo.
Bidhaa mbalimbali na zikiwa katika mabanda ya maonesho ndani ya uwanja wa Chuo Kikuu cha Ushirika mjini Moshi ambako maonesho ya Kili Fair yanafanyika.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.


Hivyo makala Waziri wa Maliasili na Utalii Azindua Maonesho ya Kimataifa ya Utalii na Viwanda Mkoani Kilimanjaro.

yaani makala yote Waziri wa Maliasili na Utalii Azindua Maonesho ya Kimataifa ya Utalii na Viwanda Mkoani Kilimanjaro. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Waziri wa Maliasili na Utalii Azindua Maonesho ya Kimataifa ya Utalii na Viwanda Mkoani Kilimanjaro. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/06/waziri-wa-maliasili-na-utalii-azindua.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Waziri wa Maliasili na Utalii Azindua Maonesho ya Kimataifa ya Utalii na Viwanda Mkoani Kilimanjaro."

Post a Comment