title : Profesa Mark Mwandosya amlilia Mzee Ndesamburo
kiungo : Profesa Mark Mwandosya amlilia Mzee Ndesamburo
Profesa Mark Mwandosya amlilia Mzee Ndesamburo
Mheshimiwa Freeman Mbowe(MB), Mwenyekiti wa Taifa, CHADEMA:
BINAFSI NILIFAIDIKA SANA NA MAWAZO, HEKIMA, FIKRA, NA USHAURI WAKE KATIKA MASUALA MBALI MBALI YA KIBUNGE NA KITAIFA BILA KUJALI KWAMBA TULIKUWA VYAMA TOFAUTI.
PANDE ZOTE ZA BUNGE ZILIMTAMBUA NA KUMHESHIMU KWA UTULIVU WAKE NA HEKIMA KUBWA KATIKA KUWASILISHA HOJA ZAKE.
KWA SABABU HIZO HAKIKA AMESAIDIA KATIKA KUJENGA NA KUIMARISHA DEMOKRASIA NCHINI. TAFADHALI TUFIKISHIE SALAAM ZANGU NA FAMILIA YANGU KWA FAMILIA YA MZEE NDESAMBURO NA WANA CHADEMA KWA KUMPOTEZA MUASISI NA MHIMILI WA CHAMA.
KWA MWENYEZI MUNGU TULITOKA NA HAKIKA SOTE TUTARUDI KWAKE. MWENYEZI MUNGU AIREHEMU ROHO YA MAREHEMU NDESAMBURO. AMEEN.
Mark Mwandosya
Hivyo makala Profesa Mark Mwandosya amlilia Mzee Ndesamburo
yaani makala yote Profesa Mark Mwandosya amlilia Mzee Ndesamburo Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Profesa Mark Mwandosya amlilia Mzee Ndesamburo mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/06/profesa-mark-mwandosya-amlilia-mzee.html
0 Response to "Profesa Mark Mwandosya amlilia Mzee Ndesamburo"
Post a Comment