Mjumbe wa Baraza la Maulamaa Zanzibar ahimiza taaluma ya ndoa kunusuru wimbi la kuvunjika kwa ndoa

Mjumbe wa Baraza la Maulamaa Zanzibar ahimiza taaluma ya ndoa kunusuru wimbi la kuvunjika kwa ndoa - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Mjumbe wa Baraza la Maulamaa Zanzibar ahimiza taaluma ya ndoa kunusuru wimbi la kuvunjika kwa ndoa, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Mjumbe wa Baraza la Maulamaa Zanzibar ahimiza taaluma ya ndoa kunusuru wimbi la kuvunjika kwa ndoa
kiungo : Mjumbe wa Baraza la Maulamaa Zanzibar ahimiza taaluma ya ndoa kunusuru wimbi la kuvunjika kwa ndoa

soma pia


Mjumbe wa Baraza la Maulamaa Zanzibar ahimiza taaluma ya ndoa kunusuru wimbi la kuvunjika kwa ndoa

Na Salmin Juma, Pemba

Mjumbe wa Baraza la Maulamaa Zanzibar Mkoa wa Kusini Pemba Sheikh Ali Abdala Awess amewataka Masheikh na Wazazi  kuelimisha Vijana  suala la Ndoa ili kunusuru Wimbi la kuvunjika Ndoa nyingi  mapema.

Amesema wakati huu ndoa nyingi za vijana zinavunjika mapema na kusababisha idadi kubwa ya Wajane na Watoto wasio na malezi bora kutokana na kukosekana kwa Taaluma ya Ndoa kabla .

Sheikh Awess  ameyasema hayo jana Kwenyeskiti wa Ijumaa  Mtambile alipokua akizungumza na Waislam mara baada  ya Swala  ya  Ijumaa.

Amesema Taaluma  ya Mapema  kwa Wanandoa  ni njia pekee itakayowafanya  waishi ndani ya Ndoa yao kwa Mafanikio.

Wakati huo huo Mjumbe  huyo  wa  Baraza  la Maulamaa ameelezea  kusikitishwa  na Tabia   iliyojitokeza  kwa baadhi  ya Misikiti kuisali Sala  ya Ijumaa nje ya wakati  wake.

Amesema imejitokeza baadhi ya Miskiti  inasali  Sala  hiyo  nyakati  za  saa tano  kitendo ambacho hakifai na kiachwe ili kulinda nyakati  za sala


Hivyo makala Mjumbe wa Baraza la Maulamaa Zanzibar ahimiza taaluma ya ndoa kunusuru wimbi la kuvunjika kwa ndoa

yaani makala yote Mjumbe wa Baraza la Maulamaa Zanzibar ahimiza taaluma ya ndoa kunusuru wimbi la kuvunjika kwa ndoa Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Mjumbe wa Baraza la Maulamaa Zanzibar ahimiza taaluma ya ndoa kunusuru wimbi la kuvunjika kwa ndoa mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/06/mjumbe-wa-baraza-la-maulamaa-zanzibar.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Mjumbe wa Baraza la Maulamaa Zanzibar ahimiza taaluma ya ndoa kunusuru wimbi la kuvunjika kwa ndoa"

Post a Comment